Nani mzalendo kati ya Makonda na Mwigulu?

Vawulence

JF-Expert Member
Jan 4, 2009
1,928
2,101
Kwa muda mrefu kila mmoja kati ya hawa mabwana wawili amekuwa akijitahidi kadri awezavyo kuwaaminisha Watanzania kuwa yeye ni mzalendo na anaipenda Tanzani kuliko mtu mwingine yeyote. Kwa upande wa Makonda tumeona masuala kama kuondoa ombaomba jijini, kupiga marufuku shisha, kutangaza kukamata mashoga (hakuna lililofanikiwa hata moja) na sasa kukamata wanahojihusisha na madawa ya kulevya (inawezekana nalo likapotea baada ya wiki chache tu)...
Kwa upande wa Mwigulu tuliona mambo kadhaa ikiwemo kushughulikia migogoro ya ya wakulima na wafugaji pamoja na kuvaa kama guerilla fighters na kuvaa scarf za bendera ya Taifa....
Tukiacha ushabiki nani anaweza kuwa mzalendo zaidi kati ya hawa wawili?
Tafadhali soma uelewe ndio ujibu.............
 
images
 
Kama uzalendo ni kutembea na bendera ya taifa basi Mwigulu ni mzalendo kweli kweli!

Kama uzalendo ni kupenda kuwa habari ya mjini,kupenda kuonekana kurasa za mbele za magazeti basi Makonda ni mzalendo kupita uzalendo wenyewe!
 
Naona makonda anapanda chati. Soon ataanza kulinganishwa na Magu.
Anyway, kuhusu uzalendo; kila mmoja ni mzalendo kwa nafasi yake.
 
Makonda katika hili ya madawa ya kulevya hana mpinzani ...watz tusikubali juhudi zozote za kumkatisha tamaa.kule bungeni mjadala wao ukiusiliza kwa makini wanagombea kutambulika kuwa wao ni kina nani?nasi watz tunasema kila mwananchi ana thamani,tupige vita unga kwa pamoja halafu ndo mje na hoja yenu kuwa mmedharaulika.
 
Kwa muda mrefu kila mmoja kati ya hawa mabwana wawili amekuwa akijitahidi kadri awezavyo kuwaaminisha Watanzania kuwa yeye ni mzalendo na anaipenda Tanzani kuliko mtu mwingine yeyote. Kwa upande wa Makonda tumeona masuala kama kuondoa ombaomba jijini, kupiga marufuku shisha, kutangaza kukamata mashoga (hakuna lililofanikiwa hata moja) na sasa kukamata wanahojihusisha na madawa ya kulevya (inawezekana nalo likapotea baada ya wiki chache tu)...
Kwa upande wa Mwigulu tuliona mambo kadhaa ikiwemo kushughulikia migogoro ya ya wakulima na wafugaji pamoja na kuvaa kama guerilla fighters na kuvaa scarf za bendera ya Taifa....
Tukiacha ushabiki nani anaweza kuwa mzalendo zaidi kati ya hawa wawili?
Tafadhali soma uelewe ndio ujibu.............
Hayo yalete mwisho wa Picha, Wacha tushughulike na agenda yenyewe na usichomeke agenda zako
 
Hayo yalete mwisho wa Picha, Wacha tushughulike na agenda yenyewe na usichomeke agenda zako
wewe unashughulika na agenda ipi?...tatizo kubwa la Watanzania ni kwamba tuna wivu na usongo..........tunakalia zaidi kuangula kwa wenzetu na kusahau ya kwetu
 
Back
Top Bottom