Tareman
Member
- Jun 3, 2019
- 53
- 33
Habari zenu, leo nimekutana na hii kitu katika moja ya group la whatsapp ni "NIKOPESHE" ni taasisi inayojielezea kuwa inatoa mikopo kwa kutimiza kigezo cha kuwa na kitambulisho cha NIDA.
Nimejiunga ili nipate huo mkopo ila mwishowe wanataka niwatumie pesa ili wanipe fomu yakujaza saini yangu.
Nimeleta kwenu wakuu mnipe mrejesho kulingana na mnavyoifahamu kama ni taasisi kweli inayojihusisha na mikopo au ni ujanja ujanja wa mjini.
Asante kwa ushirikiano wenu katika hili.
Nimejiunga ili nipate huo mkopo ila mwishowe wanataka niwatumie pesa ili wanipe fomu yakujaza saini yangu.
Nimeleta kwenu wakuu mnipe mrejesho kulingana na mnavyoifahamu kama ni taasisi kweli inayojihusisha na mikopo au ni ujanja ujanja wa mjini.
Asante kwa ushirikiano wenu katika hili.