division 5
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 204
- 241
Wakuu, habari zenu niko na maswali ambayo yamekua yakinitatiza kila siku ambayo yanahusu mimba, maswali yenyewe ni kama yafuatayo;-
1.Nani mwenye mimba kati ya mwanaume na mwanamke kwa sababu mwanamke akipata mimba humfikishia ujumbe mwanaume mlengwa kwa kujieleza kua ana mimba ya mwanaume mlengwa?
2.Mwanamke akiwa na mimba, kama hajaolewa huulizwa hii mimba ni ya nani?
3.Je wanaume ndo hua na mimba zao na huamua kuwapa wanawake?
Wakuu naomba kuelekezwa kuhusu maswali hayo
1.Nani mwenye mimba kati ya mwanaume na mwanamke kwa sababu mwanamke akipata mimba humfikishia ujumbe mwanaume mlengwa kwa kujieleza kua ana mimba ya mwanaume mlengwa?
2.Mwanamke akiwa na mimba, kama hajaolewa huulizwa hii mimba ni ya nani?
3.Je wanaume ndo hua na mimba zao na huamua kuwapa wanawake?
Wakuu naomba kuelekezwa kuhusu maswali hayo