Jamsuldash
Member
- Jul 14, 2011
- 69
- 24
Baada ya kubishana kwa muda mrefu, mbongo na mzungu wakafikia hapa
Mzungu: nakuuliza swali ukikosa unanipa sh 500 na wewe utauliza nikikosa nakupa sh 10,000.
Mbongo: poa anza mambo.
Mzungu: ni mnyama gani anaweza kaa muda mrefu bila kula chakula na anaweza fikisha muda gani katika hali hiyo?
Mbongo: sijui (huku akitoa jero kumpa mzungu).
Mzungu: haya kilaza ni zamu yako kuuliza.
Mbongo: ni mnyama gani akiwa angani ana miguu minne na akitua chini ana miguu mitatu?
Mzungu: mmmh hilo sifahamu (huku akitoa sh 10,000).
Mzungu: haya ni mnyama gani huyo?
Mbongo: mi mwenyewe sijui na nimechoka sasa hivi sitaki tena maswali yako ya k.i.p.u.m.b.a.v.u (huku akitoa jero kumpa mzungu). . .
Mzungu: nakuuliza swali ukikosa unanipa sh 500 na wewe utauliza nikikosa nakupa sh 10,000.
Mbongo: poa anza mambo.
Mzungu: ni mnyama gani anaweza kaa muda mrefu bila kula chakula na anaweza fikisha muda gani katika hali hiyo?
Mbongo: sijui (huku akitoa jero kumpa mzungu).
Mzungu: haya kilaza ni zamu yako kuuliza.
Mbongo: ni mnyama gani akiwa angani ana miguu minne na akitua chini ana miguu mitatu?
Mzungu: mmmh hilo sifahamu (huku akitoa sh 10,000).
Mzungu: haya ni mnyama gani huyo?
Mbongo: mi mwenyewe sijui na nimechoka sasa hivi sitaki tena maswali yako ya k.i.p.u.m.b.a.v.u (huku akitoa jero kumpa mzungu). . .