POMPO
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 6,690
- 2,400
katika semina elekezi ya majuzijuzi Dodoma Rais kikwetee moja ya mambo mengine alisisitiza kila idara na wizara ziwape nafasi wasemaji wao. back to my point. nani ni mzungumzaji wa jeshi la polisi?
kwa sababu huyu kamishina Chagonja ni kasishina wa mafunzo, cha ajabu ndio kawa msemaji wa jeshi la polisi ampapo hana (Ethic )maadili ya kuzungumza na vyombo vya habari mfano tumemuona alipokuwa anazungumzia ile issue ya mauwaji arusha, mauwaji Tarime na hata isue ya kukamatwa mbowe amekuwa akizungumza kwa JAZBA SANA, na kuonyesha Person interest kama vile yeye ni CCM na anachoongea hakiko balanced kwende Demokrasia... Kova nae kawa CCM
Naamini jeshi la polisi kuna mtu anakula mshahara wa kuwa ni msemaji wa jeshi hilo... Hivi Rais amekuwa anaendelea kuzalilishwa mpaka lini? anaagiza hivi wao wanafanya vile
my take:
kauli zinazotolewa na Chagoja na vitisho vya Kova. vitachochea mvutano kati ya Raia na Polisi
kwani wamekuwa wakiongelea personal issues kujisafisha
kwa sababu huyu kamishina Chagonja ni kasishina wa mafunzo, cha ajabu ndio kawa msemaji wa jeshi la polisi ampapo hana (Ethic )maadili ya kuzungumza na vyombo vya habari mfano tumemuona alipokuwa anazungumzia ile issue ya mauwaji arusha, mauwaji Tarime na hata isue ya kukamatwa mbowe amekuwa akizungumza kwa JAZBA SANA, na kuonyesha Person interest kama vile yeye ni CCM na anachoongea hakiko balanced kwende Demokrasia... Kova nae kawa CCM
Naamini jeshi la polisi kuna mtu anakula mshahara wa kuwa ni msemaji wa jeshi hilo... Hivi Rais amekuwa anaendelea kuzalilishwa mpaka lini? anaagiza hivi wao wanafanya vile
my take:
kauli zinazotolewa na Chagoja na vitisho vya Kova. vitachochea mvutano kati ya Raia na Polisi
kwani wamekuwa wakiongelea personal issues kujisafisha