Comi
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 3,328
- 958
Sijawahi kuona wala kusikia nchi inayoongoza kwa upepo kama tanzania, yaani na huu upepo ni kama unapangwa maana pepo zote mpya zinapeperusha kama siyo kuziondoa kabisa pepo zilizotangulia. Mf.
1. Palikuwa na hoja ya kukamatwa mafisadi.
2. Hoja ya rada.
3. Hoja ya richmond
4. Hoja ya mabomu na wananchi kuuawa na jeshi la polisi
5. ....
6. .....
Mda huu ni kuhusu madawa ya kulevya. Hivyo hakuna tukio wala hoja iliyopata ufumbuzi wala kutatuliwa imekuwa ni mambo ya kuunda tume. Je tutafika kwa mwendo huu? Nani mratibu wa haya matukio? Je tukio linalofata litahusu nini?
Viongozi waache kutoa/kutatua matatizo kisiasa,kindugu ili wananchi wapate kujua hatma ya matatizo yao
1. Palikuwa na hoja ya kukamatwa mafisadi.
2. Hoja ya rada.
3. Hoja ya richmond
4. Hoja ya mabomu na wananchi kuuawa na jeshi la polisi
5. ....
6. .....
Mda huu ni kuhusu madawa ya kulevya. Hivyo hakuna tukio wala hoja iliyopata ufumbuzi wala kutatuliwa imekuwa ni mambo ya kuunda tume. Je tutafika kwa mwendo huu? Nani mratibu wa haya matukio? Je tukio linalofata litahusu nini?
Viongozi waache kutoa/kutatua matatizo kisiasa,kindugu ili wananchi wapate kujua hatma ya matatizo yao