Nani mbabe hapa

Nani mbabe hapa

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,278
Reaction score
8,868
ImageUploadedByJamiiForums1394447262.610505.jpg
 
suala la katiba halikuwa kwenye ilani ya chama.

suala la katiba ni ILANI,linapaswa kuwa na muda wake na maandalizi yake hasa kipindi cha uchaguzi.

nani katuweka hapa????,nani katufikisha hapa???,nani awajibike hapa????,nani awajibishwe hapa???

inaniuma sana,kwani mwisho wake nchi inaeenda kumeguka vipande vipande.

Who is our Borris Yelstin????
 
wote wapole tu... sijaona mkali!



attachment.php
 
Wote vilaza tu, hakuna mbabe hapo!! Huoni jasho linavyowatoka....!!
 
mwenye taarifa kamili juu ya kilichojiri leo mtupe taarifa tafadhali
 
Back
Top Bottom