Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,267
- 29,914
Rais John Magufuli alimuwongeza muda wa mwaka mmoja Mkuu wa majeshi ya ulinzi nchini, Jenerali Davis Mwamunyange, ambaye alitakiwa kustaafu January 30 Mwaka jana baada ya kutimiza umri kwa mujibu wa katiba na sheria.
Jenerali Mwamunyange alitakiwa kuungana na Brigedia wanne wa Jeshi la ulinzi nchini pamoja na Meja Jenerali wawili ambapo wote kwa pamoja walistaafu ndani ya Jeshi kwa mujibu wa sheria ya jeshi hilo.
Sababu iliyomfanya Mamunyange Aongezewe Mwaka 1
Rais na Amri Jeshi mkuu waliamua kumbakiza katika utumishi jeshini kwa mwaka mmoja kuazia tarehe 30 Januari, 2016 hadi tarehe 31 Januari 2017,”
Jeneral Mwamunyage alisema sababu iliyomfanya Rais Magufuli kumwongezea muda huo imetokana na Rais kutopata mtu sahihi wa kujaza nafasi hiyo aliyonayo.
Je, Rais ameshampata mtu sahihi wa kuvivaa viatu vya Mkuu wa Majeshi ambaye muda wake unakaribia kuisha mwishoni mwa Januari 2017?
Je, ni nani aliyeandaliwa kuwa Mkuu wa Majeshi baada ya Mwamunyange?
Nawasilisha wadau.
Jenerali Mwamunyange alitakiwa kuungana na Brigedia wanne wa Jeshi la ulinzi nchini pamoja na Meja Jenerali wawili ambapo wote kwa pamoja walistaafu ndani ya Jeshi kwa mujibu wa sheria ya jeshi hilo.
Sababu iliyomfanya Mamunyange Aongezewe Mwaka 1
Rais na Amri Jeshi mkuu waliamua kumbakiza katika utumishi jeshini kwa mwaka mmoja kuazia tarehe 30 Januari, 2016 hadi tarehe 31 Januari 2017,”
Jeneral Mwamunyage alisema sababu iliyomfanya Rais Magufuli kumwongezea muda huo imetokana na Rais kutopata mtu sahihi wa kujaza nafasi hiyo aliyonayo.
Je, Rais ameshampata mtu sahihi wa kuvivaa viatu vya Mkuu wa Majeshi ambaye muda wake unakaribia kuisha mwishoni mwa Januari 2017?
Je, ni nani aliyeandaliwa kuwa Mkuu wa Majeshi baada ya Mwamunyange?
Nawasilisha wadau.