Francisca Emmanuel
Member
- Oct 16, 2015
- 9
- 3
Habarini za asubuhi wanaJF, naombeni maoni yenu ni nani atakayeshinda ubunge kati ya Julias Mtatiro CUF, Frank Mwikongi ACTWazalemdo na Bonah Kalua....siku zimebaki chache
MtatiroHabarini za asubuhi wanaJF, naombeni maoni yenu ni nani atakayeshinda ubunge kati ya Julias Mtatiro CUF, Frank Mwikongi ACTWazalemdo na Bonah Kalua....siku zimebaki chache
Huyu mmama naona ana gather momentum, hawa wengine wamevurunda kwa sababu kura zao wameamua wagawane.Habarini za asubuhi wanaJF, naombeni maoni yenu ni nani atakayeshinda ubunge kati ya Julias Mtatiro CUF, Frank Mwikongi ACTWazalemdo na Bonah Kalua....siku zimebaki chache
Kwa nini?
Kuta zake anagawana na wa cuf. PIGO!
Habarini za asubuhi wanaJF, naombeni maoni yenu ni nani atakayeshinda ubunge kati ya Julias Mtatiro CUF, Frank Mwikongi ACTWazalemdo na Bonah Kalua....siku zimebaki chache
Mbona mtu wa chadema umemsahau?
Mtatiro ni CUF sio chadema wa chadema kajitoa ila hii contradiction wanayo wengi kudhani mtatiro ni chadema na ukiskiliza viongozi wanasema chagua chadema urais mpaka udiwani. So ni advantage kwa Bonah
Mtu wa chadema atapata kura nyingi kuliko mtatiro subirini maajabu.
Mtu wa chadema atapata kura nyingi kuliko mtatiro subirini maajabu.