Nani kuchukua ubunge Segerea

Nani kuchukua ubunge Segerea

Nec ndo wameweka majina mawili ya wagombea tule wa cdm na uyo mtatiro wa cuf
 
Huyu mmama naona ana gather momentum, hawa wengine wamevurunda kwa sababu kura zao wameamua wagawane.
Lakini alikuwa Diwani wa Kata ya Kipawa, naona kama Udiwani hakuutendea haki. Kipawa barabara za mitaa ni kero, wananchi wanajichangisha kutengeneza barabara, alikuwa akiitwa hata kuja kuona kazi inaendaje hakuwahi fika, aidha, maji katika kata ya Kipawa ni kila mtu anajua anavyoyapata. Alifanikiwa tu kuanzisha VICOBA kwa ajli ya kuwakopesha akina Mama, sasa VICOBA hiyo mbona ni biashara yake.
 
Hapo ndo mkwara wa Ukawa hauna maana.
Chadema wamesimamishaje mgombea Segerea?
Na ndo hao hao waliokuwa wamempiga pini mtatiro hapo mwanzo.
Watagawana kura Cuf, ACT na Chadema afu itakula kwao
Wa CDM alishajiondoa, Segerea CUF ndo mwakilishi wa UKAWA kwa upande wa Ubunge.
 
Kuna watu wapo hapa hawajui hata mtatiro ni chama gani bado wanasema atashindwa wakati si wakazi wa Segerea...Mtatiro hana mpinzani kwani Bonah alishapoteana muda mrefu na tegemeo lake ni msaada wa kura za chadema zigawanyike ili ashinde kitu ambacho hakipo chadema wote wamefahafanya maamuz
 
Back
Top Bottom