GE2025 Nani kawapa CCM mamlaka ya kutuma SMS kwa watu, kuomba wakapige kura kwa Samia?

GE2025 Nani kawapa CCM mamlaka ya kutuma SMS kwa watu, kuomba wakapige kura kwa Samia?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mtu Alie Nyikani

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2022
Posts
1,355
Reaction score
3,091
Habari wana JF?

Nianze kwa kusema naichukia CCM na watu wake, yaani nikisikia neno au sauti inatamka au kusema "CCM" napata kichefuchefu.

Hii chuki yangu ni kwa sababu ya udharimu na unyonyaji ambao CCM imeufanya kwa zaidi ya miaka 40 na inaendela kufanya.

Leo nimeamka nakutana na message wakinitaka nikampigie Samia kura yangu.

Naomba kuuliza hii access ya namba za watu CCM wanatoa wapi?

Na mbona vyama vingine sioni wakituma hizi SMS kama wao?

Where is political fair? Kwenye hii nchi ya kusadikika!!

Hii ni mara yangu ya kwanza kushuhudia mazingaombwe ya aina hii katka uchaguzi Mkuu!

Screenshot_20251027-084709.jpg
 
Kuna hii hapa pia.

Ndugu ........., mwanachama wa CCM.
Mimi Dkt. Samia Suluhu Hassan, mgombea nafasi ya urais kwa tiketi ya CCM. Ninakuomba ujitokeze kupiga kura tarehe 29/10/2025 pamoja na mwenzako.
Ushindi wa CCM ni ushindi wa Taifa
Kazi na Utu, Tunasonga Mbele!
 
Una kadi ya chama wewe na upo kwenye database yao na tayari ushapigiwa kura mpaka hapo hata km hutoenda kupiga kura maana wanahamisha tu majina kutoka huku kwenda huku imeisha hio
Mkuu kama awali nilivyo sema, CCM naichukia. Kadi yao nichukue ya nini?
 
Habari wana JF?

Nianze kwa kusema naichukia CCM na watu wake, yaani nikisikia neno au sauti inatamka au kusema "CCM" napata kichefuchefu.

Hii chuki yangu ni kwa sababu ya udharimu na unyonyaji ambao CCM imeufanya kwa zaidi ya miaka 40 na inaendela kufanya.

Leo nimeamka nakutana na message wakinitaka nikampigie Samia kura yangu.

Naomba kuuliza hii access ya namba za watu CCM wanatoa wapi?

Na mbona vyama vingine sioni wakituma hizi SMS kama wao?

Where is political fair? Kwenye hii nchi ya kusadikika!!

Hii ni mara yangu ya kwanza kushuhudia mazingaombwe ya aina hii katka uchaguzi Mkuu!

Wakinitumia mimi nawajibu kunya! Pumbavu zao!
 
Tulia dogo endelea kulipa kodi tuendeshe gari kali
 
Back
Top Bottom