Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 787
Siku zote wataalamu wa Tanzania wa ICT wameendelea na ngonjera zao kwamba haiwezekani kuzuia maroroso ya internet kwa vijana wetu.
kwa wenzetu UAE, China, wanazuia content wasizozitaka.
Tanzania pia ingewezekana... kama TCRA ingesimama imara... lakini Tanzania kila kitu bora iende.
kwa wenzetu UAE, China, wanazuia content wasizozitaka.
Tanzania pia ingewezekana... kama TCRA ingesimama imara... lakini Tanzania kila kitu bora iende.
Last edited: