Ndo maana umeweza kutoa mawazo yako vile, siku ukipata mtoto wako ukakaa nae miezo mitatu tu wakati mkeo akihangaika utajua nani kama mama... na nakushaurI ingia labor ward wakati anajifungua utajifunza mengi
Ndo maana umeweza kutoa mawazo yako vile, siku ukipata mtoto wako ukakaa nae miezo mitatu tu wakati mkeo akihangaika utajua nani kama mama... na nakushaurI ingia labor ward wakati anajifungua utajifunza mengi
Teheeee uwii mbavu zangu mie. Don't over analyse it bwana huo ni wimbo kama sikosei mtoa mada kau quote. Kuna point baba huwa anachemsha anakomaa mama tu (from my little experience). Sio kwamba wababa wabaya hapana ila nanI kama mama...