Nani kafufua ukabila Nchini?

Mwananchi namba moja ndio tatizo
 
Si ungeenda moja kwa moja tu mkuu kwenye point kuliko kuzunguka we ungesema tu ukweli maana unajua kanda ya ziwa sasa ndio iko on peak we ungesema tu
 
Ukabila na ukanda utarudi kwa sababu hakuna mtu wa kukemea ukabila na ukanda!
 
kwenye sekta ya sheria Ukabila upo tokea enzi na enzi. Fuatilia law firms, wamiliki na wafanyakazi ni kabila moja, hata asilimia kubwa ya wateja ni toka kabila la mmiliki wa hiyo law firm.
Hapo dominant tribes Ni Chagga and Haya.

You're most likely meaning Chagga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…