Nani humshauri rais Kikwete?


si mwingine bali ni yule mwalimu wa upe mama salma kikwete
 
J J Mnyika alipolitangazia taifa kuwa kikwete ni dhaifu,

hakulurupuka aliona mbali, sana nasasa ukweli umedhihili.
 
.....ndiyo ccm,kuweni na sera ya jino kwa jino na ccm
 
Washauri wa Jk ni Wassira na Anna Makinda
 
Wewe umepewa huo ukuu wa wilaya acha kiherehere kama mke wa balozi
Nakuonea huruma sana unavyotumiwa na ccm kama kondomu mwisho wake watakuja kukutupa kwenye dampo la uchafu
 
Nyerere BABA yetu, rudi bongo hata kwa dakika moja umchape viboko JK. Hili toto sasa amepitiliza. Hata aliyempiga Warioba, muhuni Makonda, eti kawa mkuu wa wilaya!
 
Kwel wa2 mnakosa mambo ya kufanya,yaan malumbano yooote haya n kwa ajil ya Makonda 2,c tuache afanye kaz tuone uwezo wake?
 
Nyerere BABA yetu, rudi bongo hata kwa dakika moja umchape viboko JK. Hili toto sasa amepitiliza. Hata aliyempiga Warioba, muhuni Makonda, eti kawa mkuu wa wilaya!

Hiyo ndiyo SIFA kuu hata JK Nyerere anaijua.
 
mshauri wa jk ninayemfahamu ni profesa mkandara mkuu wa chuo kule mlimani(UDSM)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…