Nani hasa wenyeji Zanzibar?

Nani hasa wenyeji Zanzibar?

Noel 2014

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2014
Posts
718
Reaction score
292
Bila Kuwapotezea Muda wenu Muhimu sana. Naomba Kuelimishwa kidogo Juu ya watu asilia wa Zanzibar ni Makabila au kabila gani? Ama Asili yao hasa ni wapi?

Kisha napenda kufahamu, kwann Wazanzibar Weusi wengi ni Masikini, wakati weupe wengi wenye asili kama ya kiarabu ni Matajiri?

Naomba Kuwasilisha.
 
Halafu zanzibar sio nchi. Ukibisha unapigwa na pinda
 
Waenyeji wazanzibar niwatumbatu ni kisiwa kidogo kipo ndani ya Zanzibar na kuhusu utajiri weupe weusi ni uwongo hakuna ukweli huo
 
Wenyeji ni waarabu!! na robo tatu ya waarabu rangi ni weusi.....!! Hakuna tajiri kwa maana ya utajiri, wengi ni wafanyabiashara!! Zaidi ya habari Zanzibar akuna ubaguzi kama ilvyo bara!! Bara mnabaguana sana...... (pinga nikutibitishie) !
 
Wenyeji ni waarabu!! na robo tatu ya waarabu rangi ni weusi.....!! Hakuna tajiri kwa maana ya utajiri, wengi ni wafanyabiashara!! Zaidi ya habari Zanzibar akuna ubaguzi kama ilvyo bara!! Bara mnabaguana sana...... (pinga nikutibitishie) !

Checheiii!!
 
Wenyeji ni waarabu!! na robo tatu ya waarabu rangi ni weusi.....!! Hakuna tajiri kwa maana ya utajiri, wengi ni wafanyabiashara!! Zaidi ya habari Zanzibar akuna ubaguzi kama ilvyo bara!! Bara mnabaguana sana...... (pinga nikutibitishie) !
kumbuka inaposemwa zanzibar maana yake ni pemba na unguja, sasa sijui kama unajua vizuri mahusiano ya wapemba na waunguja! na bahati nzuri ni jana tu bungeni niliona kwenye tv wabunge kutoka zanzibar wakichambana kuhusu ubaguzi wa ajira na scholarship kwa misingi ya upemba na uunguja!
 
Wenyeji ni waarabu!! na robo tatu ya waarabu rangi ni weusi.....!! Hakuna tajiri kwa maana ya utajiri, wengi ni wafanyabiashara!! Zaidi ya habari Zanzibar akuna ubaguzi kama ilvyo bara!! Bara mnabaguana sana...... (pinga nikutibitishie) !

wewe kweli mbumbumbu wa historia! Kama wenyeji walikuwa ni waarabu, ikawaje waarabu waitwe wakoloni huko zanzibar!
 
Wenyeji wa huko wanaitwa waisilamu na kabila zao zinaitwa uisilamu

Rangi zao zinaitwa isilamu

Na kuhusu umassikini

Sijawahi sikia hifadhi ya taifa inapeleka mahindi ya misaada huko
Ilaamaeneo mengi ya Dodoma Singida na Shinyangaa huko kuna matajiri wengi wanapelekewa mahindi ya misaada kila wakati

Kwa taarifa yako leo kuna Ng'ombe wangu kafaa nilitaka kuzika mzogaa wamegawanaa
wafalatia kibaao majirani mpaka mchunfaji wa kanisa kapewa

Hawandio mssikinii
 
Wenyeji ni waarabu!! na robo tatu ya waarabu rangi ni weusi.....!! Hakuna tajiri kwa maana ya utajiri, wengi ni wafanyabiashara!! Zaidi ya habari Zanzibar akuna ubaguzi kama ilvyo bara!! Bara mnabaguana sana...... (pinga nikutibitishie) !

Doh! Sitaki kuamini kama ndio elimu uliyopata hiyo...
 
Bila Kuwapotezea Muda wenu Muhimu sana. Naomba Kuelimishwa kidogo Juu ya watu asilia wa Zanzibar ni Makabila au kabila gani? Ama Asili yao hasa ni wapi?

Kisha napenda kufahamu, kwann Wazanzibar Weusi wengi ni Masikini, wakati weupe wengi wenye asili kama ya kiarabu ni Matajiri?

Naomba Kuwasilisha.

Wenyeji ni Wahadimu na Watumbatu (Weusi) na Washirazi (Wenye asili ya Kiarabu).
 
Wenyeji wa huko wanaitwa waisilamu na kabila zao zinaitwa uisilamu

Rangi zao zinaitwa isilamu

Na kuhusu umassikini

Sijawahi sikia hifadhi ya taifa inapeleka mahindi ya misaada huko
Ilaamaeneo mengi ya Dodoma Singida na Shinyangaa huko kuna matajiri wengi wanapelekewa mahindi ya misaada kila wakati

Kwa taarifa yako leo kuna Ng'ombe wangu kafaa nilitaka kuzika mzogaa wamegawanaa
wafalatia kibaao majirani mpaka mchunfaji wa kanisa kapewa

Hawandio mssikinii


Wewe una matatizo ya Akili. Nimeuliza swali, sasa mbona Unakuja na Lugha za kifedhuli?????

Wewe nijibu, ama kama nimekosea nikosoe, otherwise unapokuja na Lugha kama hizi nakudharau.
 
Wenyeji ni waarabu!! na robo tatu ya waarabu rangi ni weusi.....!! Hakuna tajiri kwa maana ya utajiri, wengi ni wafanyabiashara!! Zaidi ya habari Zanzibar akuna ubaguzi kama ilvyo bara!! Bara mnabaguana sana...... (pinga nikutibitishie) !



Mbona nimesikia wenyeji hasa pale ni watu toka Mbeya na wamakonde? Ambao walifika huko ktk kutafuta Maisha???? Wararabu wakawakuta huko ndipo muingiliano ulipoanza?
 
Wenyeji ni Wahadimu na Watumbatu (Weusi) na Washirazi (Wenye asili ya Kiarabu).



Mkuu, mbona nasikia hata huku kuna makabila yalikwenda huko kutafuta riziki kisha wakaweka makazi?
 
Mkuu, mbona nasikia hata huku kuna makabila yalikwenda huko kutafuta riziki kisha wakaweka makazi?


Ni kweli yapo, na nadhani ndio majority ya wakazi wa huko. Ila mleta mada kauliza kuhusu wakazi wa asili wa visiwani.
 
Mbona nimesikia wenyeji hasa pale ni watu toka Mbeya na wamakonde? Ambao walifika huko ktk kutafuta Maisha???? Wararabu wakawakuta huko ndipo muingiliano ulipoanza?

Waarabu wamefika Zanzibar kabla ya makabila ya kutoka bara hayajaanza kwenda huko, Wareno walifika Zanzibar miaka ya 1400 na tayari walikuta kuna waarabu Zanzibar.
 
Waarabu wamefika Zanzibar kabla ya makabila ya kutoka bara hayajaanza kwenda huko, Wareno walifika Zanzibar miaka ya 1400 na tayari walikuta kuna waarabu Zanzibar.


Sasa kama walifika wa kwanza, okawaje wakaitwa wakoloni?
 
Back
Top Bottom