Nani hasa wapo nyuma ya kiburi cha dstv?

Nani hasa wapo nyuma ya kiburi cha dstv?

Yudatade Edesi Shayo

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2016
Posts
2,903
Reaction score
4,354
Kwanza kabisa nianze kwa kuhisifia dstv kwa huduma nzuri pale unapo subscribe your account.picture ni clear,programs full HD.balaa linaanza kifurushi chako kinapoisha,licha ya maelekezo mazuri ya tcra kea wahusika wa vinga'muzi kuwa channel 6 ni bure hata Kama mteja hajalipia!baadhi ya makampuni ikiwemo dastv wamekaidi agizo Hilo nakuendelea kutunyanyasa sisi wateja wake!kama vile mamlaka husika haina meno,au Kuna kigogo mzito nyuma ya dastv,course several times kwa masikio yangu,nimesikia mkurugenzi was tcra akipiga bit Kali na fine juu ila wapi.hivyo Basi niiombe mmalaka za juu kuliko tcr walivalie njuga hili swala.sababu ni Haki yetu kupata local channels bure kwenye ardhi.tunalipa pesa mingi kwa ajili ya channel za nje lakini siyo Hali kabisa hata kwa itv au tbc zinazoendeshwa na watanzania wenzetu?siyo Haki kabisa
 
Kwanza kabisa nianze kwa kuhisifia dstv kwa huduma nzuri pale unapo subscribe your account.picture ni clear,programs full HD.balaa linaanza kifurushi chako kinapoisha,licha ya maelekezo mazuri ya tcra kwa wahusika wa vinga'muzi kuwa channel 6 ni bure hata Kama mteja hajalipia!baadhi ya makampuni ikiwemo dstv wamekaidi agizo Hilo nakuendelea kutunyanyasa sisi wateja wake!kama vile mamlaka husika haina meno,au Kuna kigogo mzito nyuma ya dstv,course several times kwa masikio yangu,nimesikia mkurugenzi was tcra akipiga bit Kali na fine juu ila wapi.hivyo Basi niiombe mmalaka za juu kuliko tcr walivalie njuga hili swala.sababu ni Haki yetu kupata local channels bure kwenye ardhi.tunalipa pesa mingi kwa ajili ya channel za nje lakini siyo Hali kabisa hata kwa itv au tbc zinazoendeshwa na watanzania wenzetu?siyo Haki kabisa
 
Kwanza kabisa nianze kwa kuhisifia dstv kwa huduma nzuri pale unapo subscribe your account.picture ni clear,programs full HD.balaa linaanza kifurushi chako kinapoisha,licha ya maelekezo mazuri ya tcra kea wahusika wa vinga'muzi kuwa channel 6 ni bure hata Kama mteja hajalipia!baadhi ya makampuni ikiwemo dastv wamekaidi agizo Hilo nakuendelea kutunyanyasa sisi wateja wake!kama vile mamlaka husika haina meno,au Kuna kigogo mzito nyuma ya dastv,course several times kwa masikio yangu,nimesikia mkurugenzi was tcra akipiga bit Kali na fine juu ila wapi.hivyo Basi niiombe mmalaka za juu kuliko tcr walivalie njuga hili swala.sababu ni Haki yetu kupata local channels bure kwenye ardhi.tunalipa pesa mingi kwa ajili ya channel za nje lakini siyo Hali kabisa hata kwa itv au tbc zinazoendeshwa na watanzania wenzetu?siyo Haki kabisa
Dstv haiko kwenye list ya hivyo ving'amuzi unavyotaka ww, bure ziko star times, continental, Ting nk. Mkuu kama unataka vya bure hamia kwenye hivyo ving'amuzi tuachie Dstv yetu. Pambana na hali yako
 
Halafu Eti IDX mpaka ulipie 84 elfu wkt Star times ni 28
Kutokujua tu mapema
DSTV ni jipuuu
Hata kama Eti sijui hawapo kwenye vya bure kwani wao akina Nani...bwana Beiiii kama ndani kuna keki
 
DStv paytv na Azam media wao hawahusiki,ila hao chanel 10,itv,startv, cloud tv wanatakiwa walipe hela azam na DStv ili chanel zao zionekane,ukiona zimekatwa shida sio DStv ama azamtv
 
Mleta maada wewe ni kilaza tafuta ukweli kwanza kisha ndo ulalamike Dstv, Azam pay hawapo kwenye hiyo list ya kulazimika kuonyesha bure local channels.
 
Dstv haiko kwenye list ya hivyo ving'amuzi unavyotaka ww, bure ziko star times, continental, Ting nk. Mkuu kama unataka vya bure hamia kwenye hivyo ving'amuzi tuachie Dstv yetu. Pambana na hali yako

Ha ha ha ha ha,umempa makavu
 
mimi ni mmoja wapo nisiye ijua kanuni hiyo mkuu,naomba unijuze maana nakwazika na king'amuzi cha startimes... kama mtoa mada alivyolalama.....

Hizo tv channel inabidi zimlipe mtoa huduma ili aziachie ziwe bure na hapo ndio utata unapokuja
 
Kwanza kabisa nianze kwa kuhisifia dstv kwa huduma nzuri pale unapo subscribe your account.picture ni clear,programs full HD.balaa linaanza kifurushi chako kinapoisha,licha ya maelekezo mazuri ya tcra kea wahusika wa vinga'muzi kuwa channel 6 ni bure hata Kama mteja hajalipia!baadhi ya makampuni ikiwemo dastv wamekaidi agizo Hilo nakuendelea kutunyanyasa sisi wateja wake!kama vile mamlaka husika haina meno,au Kuna kigogo mzito nyuma ya dastv,course several times kwa masikio yangu,nimesikia mkurugenzi was tcra akipiga bit Kali na fine juu ila wapi.hivyo Basi niiombe mmalaka za juu kuliko tcr walivalie njuga hili swala.sababu ni Haki yetu kupata local channels bure kwenye ardhi.tunalipa pesa mingi kwa ajili ya channel za nje lakini siyo Hali kabisa hata kwa itv au tbc zinazoendeshwa na watanzania wenzetu?siyo Haki kabisa
Pole baba mwenzako mwaka 15 huu, niko huko tena na ving'amuzi mpaka mahawala zangu. Sasa wewe hivi tu vya promotion mpaka elfu 19 kwa mwezi, bado unataka cha bure pole sana.
 
Halafu Eti IDX mpaka ulipie 84 elfu wkt Star times ni 28
Kutokujua tu mapema
DSTV ni jipuuu
Hata kama Eti sijui hawapo kwenye vya bure kwani wao akina Nani...bwana Beiiii kama ndani kuna keki
Ni soko huria, kama hauwezi lipia hiyo startimes, ukiona bei ni ngumu zima T.V sikiliza radio. Ifike wakati kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake.
 
Halafu Eti IDX mpaka ulipie 84 elfu wkt Star times ni 28
Kutokujua tu mapema
DSTV ni jipuuu
Hata kama Eti sijui hawapo kwenye vya bure kwani wao akina Nani...bwana Beiiii kama ndani kuna keki
Mkuu bei zao zinaendana na huduma,,,huwezi lipia king'amuzi chao na ujute
 
Halafu Eti IDX mpaka ulipie 84 elfu wkt Star times ni 28
Kutokujua tu mapema
DSTV ni jipuuu
Hata kama Eti sijui hawapo kwenye vya bure kwani wao akina Nani...bwana Beiiii kama ndani kuna keki
Umasikini unakusumbua mkuu
 
Kwanza kabisa nianze kwa kuhisifia dstv kwa huduma nzuri pale unapo subscribe your account.picture ni clear,programs full HD.balaa linaanza kifurushi chako kinapoisha,licha ya maelekezo mazuri ya tcra kea wahusika wa vinga'muzi kuwa channel 6 ni bure hata Kama mteja hajalipia!baadhi ya makampuni ikiwemo dastv wamekaidi agizo Hilo nakuendelea kutunyanyasa sisi wateja wake!kama vile mamlaka husika haina meno,au Kuna kigogo mzito nyuma ya dastv,course several times kwa masikio yangu,nimesikia mkurugenzi was tcra akipiga bit Kali na fine juu ila wapi.hivyo Basi niiombe mmalaka za juu kuliko tcr walivalie njuga hili swala.sababu ni Haki yetu kupata local channels bure kwenye ardhi.tunalipa pesa mingi kwa ajili ya channel za nje lakini siyo Hali kabisa hata kwa itv au tbc zinazoendeshwa na watanzania wenzetu?siyo Haki kabisa
mkuu Edit Edit Edit kisha post uzi
 
Back
Top Bottom