Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,590
- 6,956
Mimi nikatika watu napinga sana zawadi za mtu mmoja maana mpira ni team hakuna mtu mmoja hizo zawadi za mchezaji bora wangepeleka Tennis huko au boxing. Football ni wachezaji 11 ndani. maana siku hizi uchambuzi umezidi mpaka umiliki wa mpira percentage sijui pass ngapi mambo mengi mengi mpaka imekuwa tunabishana nani kapiga pass nyingi badala ya nani kashinda. Mimi nitabaki tu magoal ndio mpira haya mengine sijui mchezaji bora sijui pass ngapi upuuzi tu. tumeona ya Messi akicheza Barca utasema huyu hatari lakini akienda kucheza team ina watu wa kawaida na yeye anapotea.
King Messi
