Nani hasa anapenda kati ya mwanaume au mwanamke?

Nani hasa anapenda kati ya mwanaume au mwanamke?

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
82,488
Reaction score
88,628
Habari wadau
Kumekuwa na mjadala wenye maoni tofauti kuhusu nani anapenda kati ya mwanaume au mwanamke,na je wanapenda kwa staili gani?
Dhana ya kwanza inadai mwanamke ndo anapenda tena anaupeñdo wa kweli kwa kutumia hisia za moyo na ndie mhanga mkubwa wa maumivu ya mapenzi pindi mambo yskienda mrama.
Dhana ya pili inadai mwanaume huwa hapendi ila anatamani na nakupenda basi huwa anatumia akili badala ya moyo na watetezi wa upande huu wanadai kuchepuka sana au kuoa zaidi ya mwanamke mja ni uthibirisho mkubwa
My take,mie naona anayependa ni mwanaume na mhanga mkubwa wa msumivu ya mapenzi ni mwanaume.Mara kadhaa nimesikia visa vya wanaume kujinyonga,kujipiga risasi au kuua wengine kwa wivu wa kimapenzi,hii inathibitisha wanaume ndo wenye kupenda.
Wanawake hawajawahi kupenda isipokuwa ni opportunist na wanatafuta buffer zone tu,so huwa wanapretend na kujiweka upande wa kuonewa huruma,thus why mtaani kuna vichaa wengi wanaume kuliko wanawake sababu ziko nyingi lakini mojawapo ni ya mahusiano.Hata kwenye biblia imesemwa wanaume wawapende wanawake,kwenye ndoa na harusi nyuso na vigeregere vya shangwe hutoka upande wa mwanamke maana wanakuwa wametua mzigo na kulamba bingo,wamepata mtumwa.
So wanaume wenzangu msiwawekee dhamana na kuweka rehani maisha yenu kwa kuhangaika na wanawake,mkifuata kelele zao za maigizo mtakujaishia kujitundika,tulionywa tuishi nao kwa akili,katikati yao kuna shetani ila mkijifanya mnajua kuwapenda endeleeni,siku akipata greener pastures anasepea huko.Ni hayo tu
 
Inategemea mtu na mtu. Kuna wanawake wanapenda kweli na kuna wanaume wanapenda balaa. Ndio maana huwa tunasikia matukio ya kujidhuru kwa kila jinsia iwapo wataachwa.
 
Mwanamke hajawahi kupenda,pesa ikikata tu kwa mwanaume anakusanya virago
Labda nyie hamjawahi kupendwa. Au la sijawahi kupenda mwanaume mwenye pesa. Ila niliempenda sikuwahi kupenda pesa yake. Maana wapo wenye pesa zaidi yake walikuwepo na sikuwapenda kama nilivyompenda yeye. Tafuta mwanamke atakaekupenda wewe na sio pesa zake. Tatizo mnafuata wanawake mnaowapenda ninyi wakati wao wanapenda pesa zenu sasa zikiisha si lazima aondoke.
 
Labda nyie hamjawahi kupendwa. Au la sijawahi kupenda mwanaume mwenye pesa. Ila niliempenda sikuwahi kupenda pesa yake. Maana wapo wenye pesa zaidi yake walikuwepo na sikuwapenda kama nilivyompenda yeye. Tafuta mwanamke atakaekupenda wewe na sio pesa zake. Tatizo mnafuata wanawake mnaowapenda ninyi wakati wao wanapenda pesa zenu sasa zikiisha si lazima aondoke.
 
kihistoria wanaume wengi wamepotea kutokana na mapenzi kuliko wanawake
 
Wote tunapenda kweli ila tofauti ya sisi na nyie ni kwamba sisi tukitendwa tunalia tunaongea. Nyie wanaume mnakaaga kimya tunakuja kujua mmeumizwa mkishajiua au kuwa na uchizi.
Mwanamke hajawahi kupenda,pesa ikikata tu kwa mwanaume anakusanya virago
kihistoria wanaume wengi wamepotea kutokana na mapenzi kuliko wanawake
Na bado mnaendelea kujifanya mnawafia,I can't maana nimeng'amua,kama ni nature basi lazima niende kinyume
 
Wote tunapenda kweli ila tofauti ya sisi na nyie ni kwamba sisi tukitendwa tunalia tunaongea. Nyie wanaume mnakaaga kimya tunakuja kujua mmeumizwa mkishajiua au kuwa na uchizi.
Pamoja na hayo upendo wa mwanamke una ukomo wa uvumilivu ikizingatiwa ni opportunistic
 
Watu hamjaelewa hoja yangu,hapa natoa tahadhari kwa wanaume muwe na upendo wa tahadhari na kiasi kwa wanawake,hao ni waigizaji wazuri na wenye kutafutà huruma,ukienda kichwa kichwa utaumia,historian ya dunia imeonesha hivyo,Mungu aliposema tuishi nao kwa akili alimaanisha,sio kila kitu akisema mwanamke mtu unafanya kama nyumbu tu kisa umeshikwa na K
 
Inategemea mtu na mtu. Kuna wanawake wanapenda kweli na kuna wanaume wanapenda balaa. Ndio maana huwa tunasikia matukio ya kujidhuru kwa kila jinsia iwapo wataachwa.
Sijawahi sikia mwanamke kajiua kisa mapenzi ila attempts za maigizo ya kutafuta sympathy nimeshuhudia sana but wanaume wamejiua sana
 
Acheni jaman wana wake wanapenda tena saaaaana.nilisha mpenda mkaka alinitesa sana.

Katika maisha yangu sita msahau kabisa. Nivituko vyake vya dharau na kejeri alizonionyesha kipindi hicho daah!. lakini nilimweka moyoni mpaka leo.

Amewasababishia wenzie niwafanyie ukatili, toka hapo sijapenda tena zaidi ya kuigiza tu ilimlaadi maisha yaende.
 
Acheni jaman wana wake wanapenda tena saaaaana.nilisha mpenda mkaka alinitesa sana.

Katika maisha yangu sita msahau kabisa. Nivituko vyake vya dharau na kejeri alizonionyesha kipindi hicho daah!. lakini nilimweka moyoni mpaka leo.

Amewasababishia wenzie niwafanyie ukatili, toka hapo sijapenda tena zaidi ya kuigiza tu ilimlaadi maisha yaende.
Ko hapo unawakomoa hao ulionao au unajikomoa,they are stupid kama hawawezi kustuka
 
Wote tunapenda kweli ila tofauti ya sisi na nyie ni kwamba sisi tukitendwa tunalia tunaongea. Nyie wanaume mnakaaga kimya tunakuja kujua mmeumizwa mkishajiua au kuwa na uchizi.
fact!
 
Back
Top Bottom