Nani bingwa wa UEFA 2013/2014

Nani bingwa wa UEFA 2013/2014

ISSA SHARAFI

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2012
Posts
407
Reaction score
75
Ikiwa draw ya clab bingwa ulaya imepangwa leo....iko hv Buyern v Real Madrid na Chelsea v Atletico Madrid......Je unafikiri timu gani itaibuka kuwa bingwa kati ya hizo.
 
Ikiwa draw ya clab bingwa ulaya imepangwa leo....iko hv Buyern v Real Madrid na Chelsea v Atletico Madrid......Je unafikiri timu gani itaibuka kuwa bingwa kati ya hizo.
Chelsea
 
Kamuulize tb joshua
Musikasirike ila kama ningekuwa mtabiri ningewambia watu atletico madrid mwaka wao

kwa nini?
bayan munich na atletico they both have fighting skills but a.madrid got something more...wana njaa na kombe hili,hii itawafanya wapigane kufa na kupona
 
Fainali ni
chelsea vs buyern m

na bingwa atakuwa chelsea na hii haitaji kwenda kwa TB JOSHUA.
 
Mmemaliza kutabiri! sasa subirini jibu uwanjani mpira hauchwezi kwa mtindo huo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom