Hapa yai lili ovulate tarehe 29, sasa aliyewahi kufanya mapenzi ndo anachance kubwa ya kuwa baba wa mtoto kama tu baba huyo sperm zake ni matured. Lakini na wa pili naye ananafasi ya kuwa baba pia. Coz yai linaishi up to 72hrs. Kwa mimi ningekuwa binti mume wa kwanza ndo baba wa mtoto