Acha nijishushe kukujibu.
1. Majeshi ya Ulinzi na Usalama yalikuwa wapi kuwalinda watanganyika hiyo 29 October
2. Askari wetu ni suspect wa mauji, Wengi wao ni watanyika.
3. Mkuu wa Majeshi CDF na IGP ni watanganyiaka walishindwa kuwalinda ndugu zao.
FIKICHA AKILI.