Tukiwa serious tutapata mtu, na mtu atakigopa kiti hivyo atakuwa makini
Angalia Rwanda wapo wapi sasa
hapa uswahiba, undugu, ukabila na ugirlfriend ndio kipaumbele
Watanzania wote tuko tayari kutoa maisha yetu kwa ajili ya taifa na wala sio katika kutafuta vyeo. Tumefanya hivi, tunafanya na tutaendelea kufanya kwani ni jukumu letu. Kelele unazozisikia sio za kuzuia kupambana na biashara ya unga bali ni njia uliyotumia. Halafu nikushauri ndugu yangu, sasa hivi vita inayoendelea sio ya unga tena bali ni ya bangi, kwangu mm kupambana na bangi ni kuwaonea wavutaji wakati wavuta sigara wako mitaani wanavuta. Ukiniambia unapambana na unga nitakuelewa maana unga una madhara ya dhahiri na sio bangi.
Tayari baadhi ya WAPUUZI humu ndani mmeisha badili GIA TENA.....badala ya kujikita kwenye MAADA mnaaanza kuongea upuuzi wenu kwa hii MAADA ni kithibitisho TOSHA ya kuwa MAKONDA ana mapenzi ya dhati sana na NCHI HII sema tatzo kubwa la WATANZANIA NI WANAFKI MNO TENA MNO......DAAAH ata kama MALAIKA angaetawala NCHI HII.....still kuna wapuuzi humu wangekuja na yao
Bahati mbaya ni kuwa kila mwenye nia ya dhati ya kuisadia jamii ya kitanzania uwa anaishia kuchafuliwa kukatishwa tamaa kubebeshwa lundo la tuhuma nk ili mradi kuuwa nia na dhamira yake ya dhati katika kuikomboa nchi hii.