Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,837
Nimesikia Mbowe akisema kwamba Wananchi wakishapiga kura wasiondoke na wakeshe hapo hapo!
Sasa swali langu ni Je, ni nani atawaruhusu kufanya hivyo, wakati kuna sheria ya nchi inayokataza kukusanyika bila ya kibali halafu isitoshe usiku kucha?
Je huku siyo kutafuta shari pasipo hata na sababu? Kama hamna Imani na Tume yetu ya uchaguzi ni kwanini hata mnaingia basi kwenye uchaguzi?
Sasa swali langu ni Je, ni nani atawaruhusu kufanya hivyo, wakati kuna sheria ya nchi inayokataza kukusanyika bila ya kibali halafu isitoshe usiku kucha?
Je huku siyo kutafuta shari pasipo hata na sababu? Kama hamna Imani na Tume yetu ya uchaguzi ni kwanini hata mnaingia basi kwenye uchaguzi?