kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 16,252
- 16,171
Kumpigia mtu kampeni ili akubalike kwa wapiga kura sio jambo dogo kulifanya, linahitaji mpiga debe aliye msafi na anayekubalika kwa wapiga kura. Mpiga debe hana budi kuwa na rekodi nzuri na msafi wa nje na ndani. Je CCM nani anafaa kuongoza kampeni za kumnadi Magufuli kwa wapiga kura?