Nani ataongoza kampeni za Magufuli?

Nani ataongoza kampeni za Magufuli?

Ndugu zangu Mimi naona kwa hali ilivyo ccm lazima wamkabidhi lowasa ndeye ampigie debe ili kukinusuru chama na mgawanyiko .
 
Pinda atafaa sana, teh tehe

Ana hulka ya kulia kwenye kadamnasi mambo yanapomzidi, ana tuhuma ya kutaka watu wajichukulie shaeria mkoni, na kuamuru polisi wapige tu watu amechoka.
 
Ndugu zangu Mimi naona kwa hali ilivyo ccm lazima wamkabidhi lowasa ndeye ampigie debe ili kukinusuru chama na mgawanyiko .
teh teh teh, richmond je? anaweza akampakaza mgombea kwa shombo lake la richmond na kuwa na marafiki mafisadi
 
kiama cha wenye malori yanayoharibu barabara za magufuli sasa kimewadia, hasa kama atamteua Mwakyembe awe waziri mkuu wake na Filikunjombe kuwa waziri wa ujenzi.
 
Ukweli siasa za sasa ni tofauti na siasa za zamani, hii team ya akina nape na wasira naona kama imepitwa na wakati, tunahitaji team mpya yenye weledi. kwa sasa naona JP anaongea maneno ya kutoka kichwani na upo uwezekano akaongea kwa mhemuko na badae ikaleta shida, mfano Lau Masha aliropoka siku moja kuwa akishinda ubunge atahakikisha machinga na mama lishe wanahama, nao wakamsimamia kucha kuhakikisha hashindi.

Kwa hulka ya JP akizomewa ghafla anaweza toa hata tusi la nguoni ikawa tabu, hivyo ipo haja ya kuwa naandaliwa hotuba, usimamaji wa jukwaani unapaswa utazamwe upya kwa sasa anasimama kama mlingoti hana hata mlinzi anaweza pondwa jiwe na mlevi ikaleta taharuki kubwa, kumbuka JK aliwahi pigwa ngara kule mwanza kilichofuatia ni polisi kupigana virungu wao kwa wao.

Ipo haja ya kupitia upya mass mobilization na propaganda, ukitizama mass mobilization ya mwalimu alikuwa najishusha hadi watu wa chini kabisa, alikaa na wazee wa vijiweni na akanywa nao kahawa na tangawizi.

Tizama hata ziara za kinana anafika mahala naingia shambani anashika jembe, akikuta wajenzi nae anashika mwiko na beleshi anapandisha tofali, JP akunje suruali aendane na maisha ya wananchi.
 
Kama atajikita umaliziwadi wa mchakato wa katiba pendekezwa utamgharimu magufuli sana. Labda awahakikishie watanzania kwamba ataanza mchakato kwa kuheshimu naoni ya tume ya jaji warioba.

Baba C, hii ni kete muhimu sana, mchakato wa katiba mpya itabidi ufanyiwe marekebisho makubwa au kutangaza kuachana nao kabisa.
 
Vuta picha umelala mida Ya alfajiri hivi... Usingizi ule wa kukesha jana yake, halafu kuna mtu anakuja kukugongea mlango kwa fujo sana kwenye mida ya kama saa moja moja hivi. Ile unaamka na hasira zako kwenda kumfungulia unajikwaa kidole cha mwisho cha mguu ktk kona ya kitanda ile ndiiii.. kugeuka unaparamia ndoo za maji yanamwagika. mara unateleza ktk yale maji unaangukia meza unaangusha tv, deki na ww chini mara waya wa umeme unakupiga short mgongoni unafika mlangoni na maumivu ya kidole na uchovu + hasira+hasara na short juu unakutana na jamaa anakwambia Nagawa kadi za CCM!
UTAFANYAJE!?
 
Vuta picha umelala mida Ya alfajiri hivi... Usingizi ule wa kukesha jana yake, halafu kuna mtu anakuja kukugongea mlango kwa fujo sana kwenye mida ya kama saa moja moja hivi. Ile unaamka na hasira zako kwenda kumfungulia unajikwaa kidole cha mwisho cha mguu ktk kona ya kitanda ile ndiiii.. kugeuka unaparamia ndoo za maji yanamwagika. mara unateleza ktk yale maji unaangukia meza unaangusha tv, deki na ww chini mara waya wa umeme unakupiga short mgongoni unafika mlangoni na maumivu ya kidole na uchovu + hasira+hasara na short juu unakutana na jamaa anakwambia Nagawa kadi za CCM!
UTAFANYAJE!?

Mpwa unamkata masikio huyo!
 
Vuta picha umelala mida Ya alfajiri hivi... Usingizi ule wa kukesha jana yake, halafu kuna mtu anakuja kukugongea mlango kwa fujo sana kwenye mida ya kama saa moja moja hivi. Ile unaamka na hasira zako kwenda kumfungulia unajikwaa kidole cha mwisho cha mguu ktk kona ya kitanda ile ndiiii.. kugeuka unaparamia ndoo za maji yanamwagika. mara unateleza ktk yale maji unaangukia meza unaangusha tv, deki na ww chini mara waya wa umeme unakupiga short mgongoni unafika mlangoni na maumivu ya kidole na uchovu + hasira+hasara na short juu unakutana na jamaa anakwambia Nagawa kadi za CCM!
UTAFANYAJE!?
Utashangaa, kukunya uso na kusema "ghaaaaaaa!!" na kusonya tu kwa nguvu na kubamiza mlango nyuma
 
Njia na Mawazo ya Wanadamu ni tofauti na Utendanji wa Mungu.Uteuzi wa Dk.John Magufuli si wa Wanadamu,bali ni wa Mungu.
Duh, hataree!
Huyu 'mungu' unayemsema wewe ndiye yule yule waliyemsema 2005 au huyu ni 'mjomba wake mungu'!?
Tuache kumdhihaki Mungu na sio ajabu mambo kama haya yamefanya waumini wengi kuzikimbia nyumba za ibada!

 
kiama cha wenye malori yanayoharibu barabara za magufuli sasa kimewadia, hasa kama atamteua Mwakyembe awe waziri mkuu wake na Filikunjombe kuwa waziri wa ujenzi.

Kama EL atahamia ukawa na kuwa mgombea urais, slaa atarudi ccm na kugombea ubunge na hatimae kuwa waziri mkuu.
 
Kinana s obvious

Meno ya tembo..... Unataka atumie fursa ya kampeni kuangamiza tembo wetu.... No way..... Infact kwa sasa CCM hakuna anayaweza kumnadi Magufuli..... Kangi na Deo tayari wanamaamuzi yao washafanya
 
Back
Top Bottom