wameshindwa sasa wanataka nchi isitawalike yani ni akili za kiadui kabisa, wanataka umaarufu kutoka kwenye damu ya watanzania. Hii inatoka na wao kuhusika na ujambazi ndio maana roho ya mtu ni kitu cha kawaida kabisa.Ndesamburo, a loser Dr Slaa, Lema, Mbowe, hawa wamechangia kupoteza maisha ya vijana wetu.
Mwezi ujao wamewambia vijana wajitokeze tena kwenye maandamano wakavamie ofisi za Manispaa ya Arusha
Wakae wakijua safari hii ni damu yao wao sio ya vijana wetu.