Mimi na wewe, pamoja na wasiokuwa wachagga, na UKAWA original. CCM itashinda nyie mko wachache.
Hivi kweli wapanga kampeni wa ccm hawajui kama mgao wa umeme unamharibia mgombea wao. Au ndio wameamua tu kumtoa sadaka mzee wa watu asipate kura hata asilimia kumi
Ccm mnaharisha mbaya ukawa juuuuuUloi nga mâché68;14038527 said:Ni wasiojielewa tu watawapigia kura hao wababaishaji wa UKAWA!
Uloi nga mâché68;14038596 said:Hicho chama cha kikabila, kidhehebu na kikanda kamwe hakiwezi kupewa NCHI. CCM forever!
mtu yeyote anayeipenda tanzania hawezi kumkabidhi mtei na ukoo wake kupitia hicho kitega uchumi cha chaggadema.