Hakikwanza
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 4,049
- 1,022
Je ni nani atakaye ichagua CCM kwa sasa? Hivi Watanzania tumesahau ya CCM iliyotutendea mpaka sasa? Naomba niwakumbushe haya yaliyofanyika chini ya uongozi imara wa CCM.
1. Kuuzwa kwa mgodi wa Kiwila kwa bei ya kutupwa.
2. Utoroshaji wa Wanyama pori.
3. Ujangili wa kupindukia wa tembo.
4.EPA
5.ESCROW
6.MEREMETA
7.RICHMOND
8.Ununuzi wa RADA isiyoendana na bei halisi.
9. Mikataba mibovu ya madini.
10.Ufujaji wa pesa za umma.
11. Deni la taifa kupaa kwa kasi.
12. Mfumuko wa bei za bidhaa wa kupindukia.
13. Huduma mbovu za afya na elimu.
14.Kuuawa kwa viwanda vingi.
15. Ukosefu wa ajira
16. Matumizi mabovu ya raslimali
17. Rushwa iliyokithiri kila sekta.
18. Kutelekeza shughuli za kilimo na ufugaji.
Je Mtanzania mwenye uelewa na uchungu na taifa hili utaichagua CCM kwa lipi? Wakati umefika wa kuipumzisha CCM hili halipingiki labda kama tumelogwa. Sioni dhamira ya CCM kumkomboa Mtanzania zaidi ya hadaa tupu. Mtanzania chukua hatua ukomo wa CCM umefika.
1. Kuuzwa kwa mgodi wa Kiwila kwa bei ya kutupwa.
2. Utoroshaji wa Wanyama pori.
3. Ujangili wa kupindukia wa tembo.
4.EPA
5.ESCROW
6.MEREMETA
7.RICHMOND
8.Ununuzi wa RADA isiyoendana na bei halisi.
9. Mikataba mibovu ya madini.
10.Ufujaji wa pesa za umma.
11. Deni la taifa kupaa kwa kasi.
12. Mfumuko wa bei za bidhaa wa kupindukia.
13. Huduma mbovu za afya na elimu.
14.Kuuawa kwa viwanda vingi.
15. Ukosefu wa ajira
16. Matumizi mabovu ya raslimali
17. Rushwa iliyokithiri kila sekta.
18. Kutelekeza shughuli za kilimo na ufugaji.
Je Mtanzania mwenye uelewa na uchungu na taifa hili utaichagua CCM kwa lipi? Wakati umefika wa kuipumzisha CCM hili halipingiki labda kama tumelogwa. Sioni dhamira ya CCM kumkomboa Mtanzania zaidi ya hadaa tupu. Mtanzania chukua hatua ukomo wa CCM umefika.