Nani Anayetoaga Haya Majina Ya Vimbunga?

Nani Anayetoaga Haya Majina Ya Vimbunga?

kisokolokwinyo20

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2019
Posts
472
Reaction score
424
Habari ya kuamka wanajamvi, ningependa kujua ni nani huwa anahusika kutoa majina ya hivi vimbunga? Mf kimbunga Keneth?
 
Hao hao wazungu, na ni lazima yawe ya kizungu, hutasikia Chausiku, Faraja, Dulla au Tabu...
 
Hebu kama ina_sound hapa...
Kimbunga TODAYS
kuikumba dodoma na sehemu ya jirani.
 
Ni yule anayegundua kimbunga kabla wengine hawajagundua.
 
Nimeona vimbunga vingi vina majina, juzi Msumbiji ilipata kimbunga Idai, sasa kuna hiki kinaitwa Keneth ambacho tunashukuru hakikuja huku kwetu.

Naomba kujua kwa nini hivi vimbunga hasa vinavyotokea au kuja huku kwetu tusiviite majina yetu, kwa mfano kimbunga kijacho tukiite kimbunga Mwita au kimbunga Maduhu.

Je mamlaka ya hali ya hewa haioni umuhimu wa kuvipa vimbunga majina ya huku kwetu na hata vikitokea vikajua sisi ni ndugu zao vikatuonea huruma kuliko hivi vyenye majina ya kibeberu.
 
Back
Top Bottom