Nani anayepaswa hasa kumwambia mwenzie neno asante pindi wamalizapo kufanya tendo la Ndoa?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
60,426
120,782
Nijuavyo ni kwamba panapokuwa na huduma muhimu inayotolewa kwa Binadamu yoyote basi kiustaarabu tu na kwa kudumisha pia mila zetu za Kiafrika tulizoachiwa na Mababu na Mabibi zetu tunapashwa kuambiana asante au kushukuru.

Je pale ambapo ama Wapenzi wawili au Wachumba au Wanandoa wanapokuwa wanafanya tendo la Ndoa ( wakibanduana ) na wakishamaliza tu kusuuzana ni nani hasa hasa ndiyo anatakiwa kumwambia mwenzie neno la asante kwa huduma aliyoipata?

Naomba kuwasilisha na nitashukuru kwa majibu yenu.
 
We mwanaume mwambie tu mwanadada asante, maana japo mmepeana ila itahesabika yeye ndo amekupa na ndio maana wenyewe hata kuomba huwa wanaomba kwa lugha ya picha; yan anakuwa anahitaji yeye lakin anataka we ndo umuombe kitu ambacho yeye ndo mwenye haja nacho
 
Wote wawili wanapaswa kuambiana ahsante, ingawa mwanamke anastahili zaidi kutoa ahsante, kwani yeye ndiye huridhishwa zaidi, mwanaume hata Nusu saa aweza kuridhika lakini sio mwanamke. Hivyo pindi mwanamke aridhikapo hana budi kusema ahsante
 
Asee mke anatakiwa kutoa asante koz Kidume kimefanya kazi kubwa. Na Mme anachoka sana ukilinganisha na ke yani ke anaweza kuchezea dushe siku nzima ref. Wanaojiuza bt me hivyo lazima uumwe na kusinzia sana
 
Nijuavyo ni kwamba panapokuwa na huduma muhimu inayotolewa kwa Binadamu yoyote basi kiustaarabu tu na kwa kudumisha pia mila zetu za Kiafrika tulizoachiwa na Mababu na Mabibi zetu tunapashwa kuambiana asante au kushukuru.

Je pale ambapo ama Wapenzi wawili au Wachumba au Wanandoa wanapokuwa wanafanya tendo la Ndoa ( wakibanduana ) na wakishamaliza tu kusuuzana ni nani hasa hasa ndiyo anatakiwa kumwambia mwenzie neno la asante kwa huduma aliyoipata?

Naomba kuwasilisha na nitashukuru kwa majibu yenu.
Mwanaume aseme ASANTE, Mwanamke aseme POLE
 
Wote wawili wanapaswa kuambiana ahsante, ingawa mwanamke anastahili zaidi kutoa ahsante, kwani yeye ndiye huridhishwa zaidi, mwanaume hata Nusu saa aweza kuridhika lakini sio mwanamke. Hivyo pindi mwanamke aridhikapo hana budi kusema ahsante

Basi kama ni hivi nadhani Mimi siwaridhishi na pengine huwa ' nawaparaza ' tu Mkuu kwani tokea nibalehe miaka ile ya 60 hadi sasa sijawahi kuambiwa neno asante ila neno ninaloambiwa mara kwa mara ni ' unaniachaje naomba hela ya sabuni ' tu.
 
Ni kwel sheeeee weng huwa wanasema ivoooo kwamba unaniachaj na hela ya sabun

Hilo neno huwa nakutana nalo mno kila ninapokuwa nawabandua hawa Warembo na nadhani pengine ndiyo huwa neno lao jepesi na lililo karibu na midomo yao.
 
Basi kama ni hivi nadhani Mimi siwaridhishi na pengine huwa ' nawaparaza ' tu Mkuu kwani tokea nibalehe miaka ile ya 60 hadi sasa sijawahi kuambiwa neno asante ila neno ninaloambiwa mara kwa mara ni ' unaniachaje naomba hela ya sabuni ' tu.
Shit!! Pole mzee mwenzangu, mimi huniambia ahsante wakati wa game na baada ya game huku machozi yakiwatoka. Mimi nina utamaduni wa "Yeye kwanza, mimi baadae" hivyo mm hushughulika kwanza nae hadi akishsema ahsante au kujikaza na kuhema kwa vishindo ndipo na mimi huachia shuti la mbali kisha kugonga mwamba, hapo ndipo kila mmoja hujikuta akimwambia mwenzie ahsante.
 
Back
Top Bottom