Nani anayakumbuka ya Mugabe uwanja wa Uhuru kuapishwa kwa Ras Kikwete!

Mkuu wewe unacheza na kichapo cha Mungu, huyo Kikwete mnaejifanya kumsifia sasa hivi si mlimchukia mkamchafua kweli mpaka Mungu akakasrika akaamua kutoa adhabu ya maana mpaka saa hizi watu wanaomba po!

Acheni malalamikolalamiko ya kukufuru mwisho wa siku tutakuja kuletewa mtu ambae atataka tuwe tunalala kuanzia saa tisa hakuna kuzurula mtu nje, Mungu hua hapend malalamiko yasiyokua na tija.

Hata Kikwete mwenyewe sasa hivi atakua anatucheka kweli, tulijifanya hatutaki mbichi hizi sasa tumeletewa mbivu, na tukijifanya kuendelea kulalamika tutakuja kuletewa zilizoiva mpaka zimeoza.
Umeongea vema.
Mimi niliomba aje raisi dikteta kidogo naona Mungu amenijibu sala zangu.

Silalamiki nakipata nilichotamani.
Ukweli nilitanani mtu wa aina yake huenda nchi ikabadilika kidogo.
 
Hivi waafrika kusini wanajua madhira wanayopata wakulima wa korosho, hivi wanajua kuwa kuna maelfu ya vijana wamemaliza vyuo vikuu lakini hawana ajira (wakiwemo afya na elimu).
Hao waafrika kusini wanajua jinsi uchumi wa nchi ulivyokufa, biashara zinafungwa, nguvu ya manunuzi imeshuka.
Waafrika kusini wanajua jinsi wapinzani wanavyonyanyaswa, uhuru wa habari unavyokiukwa.
Waafrika kusini wanajua watumishi wa umma hawajaongezwa mishahara toka mwaka 2015.
Hayo yote uliyosema hata south Africa yapo pia, wasomi kukosa kazi ni tatizo la dunia na bei ya mazao ya kilimo na ufugaji ni janga kwa third world countries
 
TUNACHOKUMBUKA NI YEYE KUTULETEA BOMU na kuchagua bashite kama mkuu wa wilya, he is the one to blame.
Mkuu wewe hukumbuki au unajisahaulisha, Bungeni kabisa kusema Rais ni dhaifu, legelege anachekacheka, mhusika anaambiwa afute kauli anamwambia spika sifuti, leo hii huyo aliekua anaongea hivo mbona hatumuoni akitoa kauli kama hizo.
 
Mkuu wewe hukumbuki au unajisahaulisha, Bungeni kabisa kusema Rais ni dhaifu, legelege anachekacheka, mhusika anaambiwa afute kauli anamwambia spika sifuti, leo hii huyo aliekua anaongea hivo mbona hatumuoni akitoa kauli kama hizo.
Nasikia mshamteka Nyalandu huko Singida?aisee mnachapa kazi kwerikweri
 
Hayo yote uliyosema hata south Africa yapo pia, wasomi kukosa kazi ni tatizo la dunia na bei ya mazao ya kilimo na ufugaji ni janga kwa third world countries
haya matatizo yakasababisha xhenephobia,kutolewa madarakani kwa zuma na thabo mbeki...hawayakushangilia,wanayachukia na hakuna anayewateka waki express feelings zao kuchukizwa na matatizo ya kipumbavu
 
Back
Top Bottom