Nani anavujisha mikataba ya siri inayosainiwa na Serikali ya Tanzania na Waarabu? Lengo lake ni nini?

sifi leo

JF-Expert Member
Mar 30, 2012
5,013
8,369
Leo usku sikupata usingizi baada kupata taarifa kutoka U tube zikimuonesha Mh Makamu Mwenyekiti wa Chadema akiwa mkoani Geita kwenye Moja ya Mikutano yake ya hadhara alidai yakuwa kuna mkataba mwingine umesainiwa, Kati ya waarabu na Serikali ya awamu ya sita.

Mkataba huu Unahusu kutunziwa misitu yetu yaani waarabu ambao kwao ni jangwa tupu leo hii wamesaini mikataba ya kuja kututunzia misitu yetu ya hifadhi.

Najiuliza

Maafisa misitu weto Tanzania nao wameshindwa kutunza misitu yote?

Je, waarabu wa Dubai wanataka kutuletea roboti kuja kutunza misitu?

Aise

Najiuliza ni Nani anavujisha mikataba hii kutoka Ikulu na ana Nia gani na nchi yetu?
 
Mkuu hio biashara ya hewa ukaa ishaanza muda na Kuna vijiji vishaingia mkataba na hao jamaa na wameweka ofa zakutosha, mlinzi analipwa 250,000/ mwenyekiti wa Kijiji watakacho kubali toa misitu yao anakula 250,000 kila mwezi na Kijiji kinakula kila mwezi sio chini ya 300,000 ila ukikutwa hata unalokota jani ndani ya msitu huo ni kifo
 
Mkuu hio biashara ya hewa ukaa ishaanza muda na Kuna vijiji vishaingia mkataba na hao jamaa na wameweka ofa zakutosha, mlinzi analipwa 250,000/ mwenyekiti wa Kijiji watakacho kubali toa misitu yao anakula 250,000 kila mwezi na Kijiji kinakula kila mwezi sio chini ya 300,000 ila ukikutwa hata unalokota jani ndani ya msitu huo ni kifo
😂😂😂.... Ngoja nikusanye vijana tujikatie msitu wetu kwanza.
 
Kwa hiyo unataka kukata misitu?
Hii habari wala sio siri mbona ipo toka Februari tena kwenye webpage ya wizara VPO | News

Na huo mkataba unahusu carbon market.
Kwa kifupi, masoko ya kaboni ni mifumo ya biashara ambayo credit za kaboni inauzwa na kununuliwa.

Makampuni /nchi au watu binafsi wanaweza kutumia masoko ya kaboni kufidia uzalishaji wao wa gesi chafuzi kwa kununua credit za kaboni kutoka kwa taasisi/nchi zinazoondoa au kupunguza utoaji wa gesi joto/hewa ukaa.

Kwa hiyo hao jamaa ni wanunuzi wa hewa safi (sisi ni wauzaji) na wao wananunua ili kupata credits kulingana na makubaliano yao kimataifa kwa kufadhili uhifadhi wa misitu.
 
Hao Waarabu wanatumika tu lkn wahusika wakuu ni WEF, its all about popukation control, njaa inatengenezwa kwa makusudi kuuwa watu na depopulate the World, wakal wa shetani wanatwala Dunia …
 
Leo usku sikupata usingizi baada kupata taarifa kutoka U tube zikimuonesha Mh Makamu Mwenyekiti wa Chadema akiwa mkoani Geita kwenye Moja ya Mikutano yake ya hadhara alidai yakuwa kuna mkataba mwingine umesainiwa, Kati ya waarabu na Serikali ya awamu ya sita.

Mkataba huu Unahusu kutunziwa misitu yetu yaani waarabu ambao kwao ni jangwa tupu leo hii wamesaini mikataba ya kuja kututunzia misitu yetu ya hifadhi.

Najiuliza

Maafisa misitu weto Tanzania nao wameshindwa kutunza misitu yote?

Je, waarabu wa Dubai wanataka kutuletea roboti kuja kutunza misitu?

Aise

Najiuliza ni Nani anavujisha mikataba hii kutoka Ikulu na ana Nia gani na nchi yetu?
Hakuna siri yoyote ila wizi tu ambao mwisho wa siku inaitwa siri.
Hivi watanzania lini ujinga utatutoka?
Kwa nini mikataba iwe siri kama inatuhusu? Tumefanywa wajinga sana
 
Najiuliza ni Nani anavujisha mikataba hii kutoka Ikulu na ana Nia gani na nchi yetu?
Ulijiuliza aliyevujisha Siri ya jpm kufariki kabla haijatangazwa kitaifa ama umekuwa biased due to your beliefs, judgement and thinking and your mental framework
 
Leo usku sikupata usingizi baada kupata taarifa kutoka U tube zikimuonesha Mh Makamu Mwenyekiti wa Chadema akiwa mkoani Geita kwenye Moja ya Mikutano yake ya hadhara alidai yakuwa kuna mkataba mwingine umesainiwa, Kati ya waarabu na Serikali ya awamu ya sita.

Mkataba huu Unahusu kutunziwa misitu yetu yaani waarabu ambao kwao ni jangwa tupu leo hii wamesaini mikataba ya kuja kututunzia misitu yetu ya hifadhi.

Najiuliza

Maafisa misitu weto Tanzania nao wameshindwa kutunza misitu yote?

Je, waarabu wa Dubai wanataka kutuletea roboti kuja kutunza misitu?

Aise

Najiuliza ni Nani anavujisha mikataba hii kutoka Ikulu na ana Nia gani na nchi yetu?
Si lazima taarifa zianzie Tanzania, unaweza kuzipata habari nyeti za Tanzania kutoka nje ya nchi.
 
Mkuu hio biashara ya hewa ukaa ishaanza muda na Kuna vijiji vishaingia mkataba na hao jamaa na wameweka ofa zakutosha, mlinzi analipwa 250,000/ mwenyekiti wa Kijiji watakacho kubali toa misitu yao anakula 250,000 kila mwezi na Kijiji kinakula kila mwezi sio chini ya 300,000 ila ukikutwa hata unalokota jani ndani ya msitu huo ni kifo
🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔

Kumbe,
 
Leo usku sikupata usingizi baada kupata taarifa kutoka U tube zikimuonesha Mh Makamu Mwenyekiti wa Chadema akiwa mkoani Geita kwenye Moja ya Mikutano yake ya hadhara alidai yakuwa kuna mkataba mwingine umesainiwa, Kati ya waarabu na Serikali ya awamu ya sita.

Mkataba huu Unahusu kutunziwa misitu yetu yaani waarabu ambao kwao ni jangwa tupu leo hii wamesaini mikataba ya kuja kututunzia misitu yetu ya hifadhi.

Najiuliza

Maafisa misitu weto Tanzania nao wameshindwa kutunza misitu yote?

Je, waarabu wa Dubai wanataka kutuletea roboti kuja kutunza misitu?

Aise

Najiuliza ni Nani anavujisha mikataba hii kutoka Ikulu na ana Nia gani na nchi yetu?
Mzalendo mmoja hivi..
 
Back
Top Bottom