Mtukanaji ni yule anaesema uchumi wa watanzania umepanda ndio maana Dar kuna msongamano wa magari, ni yule anaesema kuwa ametengeneza ajira kwa vijana ndio maana wanauza VOCHA za simu na MAJI ya kufunga barabarabi, ni yule aliyesema serkali yake haina uwezo wa kulipa kima cha chini cha Tshs 315,000 kwa wafanyakazi wa serikali wakati anawalipa wabunge Tshs 7,000,000 kwa mwezi +posho, Ni yule anayejifunia kujenga vituo vya kuwatia mimba mabinti na dada zetu akizzita shule za kata, kuna mengi tu yakumambua.....!