Upekuzi101
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 478
- 1,025
Let's assume kuwa SSH ana nia ya dhati ya kuiletea maendeleo Tanzania na anataka kumantain speed ya utekelezaji wa miradi kama kipindi cha mwendazake ila anakwamishwa na wasaidizi wake ikiwemo mawaziri, ukizingatia mama ni mtu wa madaftari mambo ya field hata hajui. Unadhani waziri gani anapaswa kuachia ngazi na nani kuchukua nafasi yake. Mimi nikianzia na:
1. January Makamba out - Kalemani in
2. Mwigulu Nchemba out- Charles Kimei in
Ongeza list yako na wewe.....
1. January Makamba out - Kalemani in
2. Mwigulu Nchemba out- Charles Kimei in
Ongeza list yako na wewe.....