Kuna baba mmoja Jana kaona nimemlipia dogo siti wote tunaumwa amna kubebana kaanza tokwa povu or unamfundisha nn mtoto atakama umelipia nikamwambia mzee dogo anaumwa afu we umepanda apa tu saiv kuna raia nimetoka nao mwanzo wa gari wamesimama na wamemuona dogo we ujiulizi kwann awajatokwa povu
Asinge kaa dogomtu mwingine sngekaa usingepata siti
Ohhh sheria ya wapi mtoto akae mie. Mzee nisimame nikamwambia sheria wewe umri unakuruhusu uwe na usafiri wako kama utaki kusimama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.