moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,900
- 4,865
Mwili wa Binadamu unaweza kuhimili maumivu ya 45 del (unit) za maumivu.
Lakini wakati wa kuzaa mwanamke hufikia hadi 57 del za maumivu kiwango hicho cha Maumivu ni sawa kabisa na mivunjiko 20 ya mifupa katika mwili kwa Muda mmoja.
Lakini Mwanamme akipigwa kwenye
KORODANI hupata maumivu zaidi ya 9000 del ambayo ni sawa na maumivu ya Kuzaa watoto 160 ambayo ni sawa na kuvunjika Mifupa 3200 ya mwili kwa wakati mmoja.
Nani anasema Mwanaume hajui Uchungu wa Kuzaa.?
Lakini wakati wa kuzaa mwanamke hufikia hadi 57 del za maumivu kiwango hicho cha Maumivu ni sawa kabisa na mivunjiko 20 ya mifupa katika mwili kwa Muda mmoja.
Lakini Mwanamme akipigwa kwenye
KORODANI hupata maumivu zaidi ya 9000 del ambayo ni sawa na maumivu ya Kuzaa watoto 160 ambayo ni sawa na kuvunjika Mifupa 3200 ya mwili kwa wakati mmoja.
Nani anasema Mwanaume hajui Uchungu wa Kuzaa.?