Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,219
- 79,493
Songwe Airport
MY TAKE
Hivi bkweli creativity imeshindikana mpaka kwenda kutundika mbango kama huu ukuta wa airport? Kwanini wahusika wasiweke poles barabarani kubandika tangazo lao?
Where r the standards TAA or TCAA? Inakera kwakweli, badala ya kuwa na screen ya kuonyesha departure tunawekewa bango la maziwa ama coca cola! Aisee...!
MY TAKE
Hivi bkweli creativity imeshindikana mpaka kwenda kutundika mbango kama huu ukuta wa airport? Kwanini wahusika wasiweke poles barabarani kubandika tangazo lao?
Where r the standards TAA or TCAA? Inakera kwakweli, badala ya kuwa na screen ya kuonyesha departure tunawekewa bango la maziwa ama coca cola! Aisee...!