Nani anamfadhili mtu huyu?

Hao ndio waliomshambulia makamu lazima.
Makamu yupi mkuu? Maana rekodi zinasema makamu wote wa vyama viwili vikuu vya siasa nchini wamesha shambuliwa.
Mmoja kwa risasi nyingi lakini Mola akakataa kabisa kuwa hafi.
Mwingine akawekewa sumu dose ya kumuua Ngamia au tembo lakini naye Mola akasema NO.
Wote hao anatajwa mzito mmoja kujua mipango hiyo na kuifadhili na ndio maana Mamboleo kaishia kupiga biti na kuufyata.
Usiku mwema.
 
Kama alikua na vijana wa idara basi ni wazi anafadhiliwa na idara. Idara ina mwajiri mmoja tu, ambaye ni mkurugenzi mkuu wa idara.

Kama hana baraka zao wangesha mzima kitambo sana, hata kama angekua na baraka za mkuu wa nchi.
Mkurugenzi wa Idara anateuliwa na mkuu wa nchi. Ukisikia agizo kutoka juu ujue ni kutoka Chato.

Hao ma DG wote ni wachumia tumbo, hawawezi kumshauri lolote Meko zaidi ya kujichekesha chekesha tu
 
Kweli mkuu, nakumbuka nilipokuwa Mzumbe nikisolve DIFFERENTIAL EQUATION.., CALCULUS NA PROBABILITY II..halafu leo naongozwa na washamba na malimbukeni naumia sana!

"TATIZO LA NJI HII, TUMERUHUSU AKILI NDOGO KUONGOZA AKILI KUBWA..." Mhe. Rev. Msigwa- MB CHADEMA- Iringa Mjini.
 
Swali langu: Mwanaharakati huyu huru anatumiwa na nani? Nani anamlea? Tunalipeka wapi Taifa?
Acha majungu
Umeajuaje kama hao watu wanne ni kutoka idara nyeti?
Pia kumbuka serikali inaweza kufanya kazi na.mwanaharakati yoyote ikiwa tu kazi hiyo ni kwa maslahi mapana.ya nchi
 
Aisee umeandika kijinga sana
 
Aliyesoma story ya kiapo cha jasusi... Atajua huyu ni nani.. .

Wanasema kazi ya uchapishaji wa gazeti ni geresha tu.. . Ila ni msaidizi wa bas***e kwenye Shughuli zetu zile... UKitaka kumjua vizuri hebu mtumie hata wezi watano tu kama hutorudishiwa maiti...

HUYO MTU SIO MTU MWEMA KABISA...

USISHANGAE HATA HILO JINA SIO LAKE HALISI NI LA KUTUNGA TU. ..
 
Mwanaharakati Huru ameenda kufanya nini kwa JASUSI MBOBEZI? Aende Mwibara akapambane na MNENGUAJI.
 
Huu ndiyo ile tunaita "mfumo nje ya mfumo".....?
 
12/October/2021 kuna jambo lake mahakamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…