Katelelo...miaka ile mi nasoma msingi kuna hadith moja ilikua ina kichwa cha habari SIKU WA GULIO KATELELO. nlikua naipenda sana. Nani anaweza kunisaidia ntapata wapi kile kitabu?
Katelelo...miaka ile mi nasoma msingi kuna hadith moja ilikua ina kichwa cha habari SIKU WA GULIO KATELELO. nlikua naipenda sana. Nani anaweza kunisaidia ntapata wapi kile kitabu?
gulio ni soko la siku mojamoja...................................na katerelo ni kijiji ambako soko hilo huzuka mara kwa mara...........................it is a long story..............I used to have a gal from that village "in those were the days"..........................am told she is happily married somewhere in Dar ......................am taking this opportunity to wish her the best 4 her and family.......................
sina uhakika na spelling za katerelo ni katelelo..............though