PHILE1879
JF-Expert Member
- May 6, 2013
- 645
- 483
Shuleni milijifinza kuwa Kiswahili ni kibantu.Kimekopa(Kutohoa) maneno kutoka Kiarabu Na lugha nyinginezo mf. Kiingereza (Shati,Sketi, nk) Kichina(Chai)
Kijerumani (Shule, hela nk)
Je kwa nini siku hizi Kiswahili kimeacha kukopa maneno?
Nakerwa Na maneno mapya ya Kiswahili yasiyotumika .mf. Rununu,Kikokotoo,,
Maneno kompyuta,Televisheni,intaneti, kwa kuwa yamezoeleka kwa nini yasitoholewe yakawa ya Kiswahili badala ya kubuni maneno mapya yasiyoeleweka?
Hata kiingereza Kimekopa: tsunami,emoji (kijapani)
tornado ,tomato (Kiispania)
Safar,Ugali ( kiswahili)
Kijerumani (Shule, hela nk)
Je kwa nini siku hizi Kiswahili kimeacha kukopa maneno?
Nakerwa Na maneno mapya ya Kiswahili yasiyotumika .mf. Rununu,Kikokotoo,,
Maneno kompyuta,Televisheni,intaneti, kwa kuwa yamezoeleka kwa nini yasitoholewe yakawa ya Kiswahili badala ya kubuni maneno mapya yasiyoeleweka?
Hata kiingereza Kimekopa: tsunami,emoji (kijapani)
tornado ,tomato (Kiispania)
Safar,Ugali ( kiswahili)