Chai ni pia Kiarabu
شاي, Kiajemi
چای, Kituruki Çay , Kigiriki
Τσάι, Kirusi
Чай,
Kiswahili kimepokea kutoka Kiajemi / Kiarabu.
Kwa jumla kuna hasa maneno mawili ya kimataifa kwa chai, yote yatokana na lahaja za Kichina: wale waliopokea majani kwa njia ya biashara ya nchi kavu walipata majani pamoja na jina kwa lahaja ya China Kaskazini "cha", lakini wale waliochukua majani kwa njia ya bahari walipata majani pamoja na lahaja ya China Kusini "ta" (hivyo Waingereza, Wareno, Waholanzi na wengine wa Ulaya magharibi).
Lugha chache tu yana maneno tofauti, kwa mfano Kipoland wanaposema "herbata" (=majani) au Waaymara wa Peru wanaosema "pulu" (sijui maanake).