Nani anafanya Kiswahili kiwe kigumu?

Nani anafanya Kiswahili kiwe kigumu?

kwamfano wahehe wameiita smartphone Kipyatililo na wanaelewana sana coz the way simu hiyo inakuwa operated ni sawa na kupyatila ulanzi.so they have conceptulized the new term into their natural environment
Duu, umenukumbusha mkuu. Nilienda uheheni hivi juzi maneno mengi ya simu na teknolojia wemeyatohoa kuwa katika kihehe. Nilipenda sana kwakweli. Kuna maneno wamebuni na mengine wametohoa kulingana na mazingira.
 
Chai ni pia Kiarabu شاي, Kiajemi چای, Kituruki Çay , Kigiriki Τσάι, Kirusi Чай,
Kiswahili kimepokea kutoka Kiajemi / Kiarabu.

Kwa jumla kuna hasa maneno mawili ya kimataifa kwa chai, yote yatokana na lahaja za Kichina: wale waliopokea majani kwa njia ya biashara ya nchi kavu walipata majani pamoja na jina kwa lahaja ya China Kaskazini "cha", lakini wale waliochukua majani kwa njia ya bahari walipata majani pamoja na lahaja ya China Kusini "ta" (hivyo Waingereza, Wareno, Waholanzi na wengine wa Ulaya magharibi).

Lugha chache tu yana maneno tofauti, kwa mfano Kipoland wanaposema "herbata" (=majani) au Waaymara wa Peru wanaosema "pulu" (sijui maanake).

Asante kwa dondoo murua
 
yes tarakilishi unacho sema ni kweli. The problem ya wataalamu wa kiswahili wanaborrow maneno zaidi kuliko kuconceptulize maneno mapya kwenye context ya kiaswahili. Chek maneno kama kihotomotela for ATM jamani tungeweza hata sema " kitoapesa" lingeeleweka zaidi kwa watumiaji this why waswahili hawatumii neno kitomotela but wanaopt neno ATM
 
Tatizo la taasisi za kiswahili zinaligalize maneno ambayo hayatumiwi na society. matokeo yake hayo maneono kama sharubati ,ngamizi, kihotomotela, tarakinishi hayatumiki na jamii na kama hayatumiki yanalose ligality ya kuwa luhga coz lugha inapaswa iwe conventinal na watumiaji sio watu wachache wanao leta maneno magaumu
 
Tatizo la taasisi za kiswahili zinaligalize maneno ambayo hayatumiwi na society. matokeo yake hayo maneono kama sharubati ,ngamizi, kihotomotela, tarakinishi hayatumiki na jamii na kama hayatumiki yanalose ligality ya kuwa luhga coz lugha inapaswa iwe conventinal na watumiaji sio watu wachache wanao leta maneno magaumu
 
d152c8e084db53f3743ccb7d6789a699.jpg
 
Back
Top Bottom