Nani anafaa kuwa Rais wa Africa mashariki?

stujadiliane

Member
Jun 2, 2017
66
84
Africa mashariki ni jumuia ambayo inapanuka kwa kasi kati ukandaa huu wa Africa. Nakumbuka jumuia ilianza na nchi Tatu Tanzania .Uganda na Kenya.

Lakini kwasasa jumia ya Africa mashariki imejitanua kwa kujumulisha nchi za Rwanda .sudani.na Burundi hivyo kuifanya jumuia kufikisha nchi Sita. naamini wazo la kuwa na sarafu moja na Rais mmoja linatakiwa kupewa kipaumbele ili kuifanya Africa mashariki kuwa na nguvu

Swali langu ni yupi anafaa kuwa Rais wakwanza wa jumuia ya Africa mashariki kati ya Nkurunziza .kagame. museveni.Magufuli.saruvakili na kinyatta?
je unadhani nikigezo gani muhimu kinafaa kutumika kumpata Rais wa kwanza wa Jumuia ya Africa Mashariki.

Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki Africa mashariki.Mungu ibariki Afrika
 
Kwanza haitawezekana kwa sababu wazungu walishatuchanganya na kutufanya tusiwe wamoja,hatutakaa tukaelewana kwa sababu mzungu anajua tukiwa wamoja tutatengeneza dola yenye nguvu na hawatakuja kama wapendavyo siku zote,Africa ilipaswa kua moja tu yenye majimbo manne au matano,hapo tungemtoa machozi mzungu japo kwa wazo lako na mapendekezo nafikili MAGUFULI angefaa kua Rais wa jumuia

1. Anaelewa anachofanya kulingana na uhitaji wa waafrica wanyonge

2. Anajua kusimamia rasilimali za taifa na anaonyesha anachukizwa na upolaji wa mali zetu toka kwa wageni walaghai,ili kujiridhisha na hayo hutakaa ukamuona anaenda huko kwao ulaya na kujibembelezesha,unapokua ugenini utakirimiwa na kupewa sifa na hata pesa na cheo chochote cha jumuia furani ili ujione wewe ni miongoni mwao kisha wanapitia hapo hapo kukuumiza wewe na wananchi wako.
 
Kwanza haitawezekana kwa sababu wazungu walishatuchanganya na kutufanya tusiwe wamoja,hatutakaa tukaelewana kwa sababu mzungu anajua tukiwa wamoja tutatengeneza dola yenye nguvu na hawatakuja kama wapendavyo siku zote,Africa ilipaswa kua moja tu yenye majimbo manne au matano,hapo tungemtoa machozi mzungu japo kwa wazo lako na mapendekezo nafikili MAGUFULI angefaa kua Rais wa jumuia

1. Anaelewa anachofanya kulingana na uhitaji wa waafrica wanyonge

2. Anajua kusimamia rasilimali za taifa na anaonyesha anachukizwa na upolaji wa mali zetu toka kwa wageni walaghai,ili kujiridhisha na hayo hutakaa ukamuona anaenda huko kwao ulaya na kujibembelezesha,unapokua ugenini utakirimiwa na kupewa sifa na hata pesa na cheo chochote cha jumuia furani ili ujione wewe ni miongoni mwao kisha wanapitia hapo hapo kukuumiza wewe na wananchi wako.
Ni upuuuzi kumlalamikia mwingine kwa shida zako. Mzungu hajashika vichwa na kuwaamlia. Ukoloni uliisha miaka 50 iliyopita lolote lile linalotokea leo ni matokeo ya matendo yetu wala sio kwamba mzungu ndo anaamua. Tuache kutafuta mchawi nani na kufanya Kazi kwa weledi
 
Ni upuuuzi kumlalamikia mwingine kwa shida zako. Mzungu hajashika vichwa na kuwaamlia. Ukoloni uliisha miaka 50 iliyopita lolote lile linalotokea leo ni matokeo ya matendo yetu wala sio kwamba mzungu ndo anaamua. Tuache kutafuta mchawi nani na kufanya Kazi kwa weledi
Una mtindio,hata sijui unasema nini,toa unachojua kwa huyo aliyouliza swali hapa.miTanzania mingine sijui ipoje
 
Una mtindio,hata sijui unasema nini,toa unachojua kwa huyo aliyouliza swali hapa.miTanzania mingine sijui ipoje
Mkeo ataliwa usingizie mzungu, ni wakati tuchukue full responsibility ya matendo yetu sio kila kitu kusingizia mzungu. Huna tofauti na waarabu wanaosema wanaua sababu Marekani kawachonganisha, hivi nikikupa bunduki nikikwambia muue ndugu yako na wewe ukamuaa ujinga wangu au wako? Acha uvivu wa kufikiri acha kusingizia wazungu kila kitu
 
Back
Top Bottom