Nani anafaa kupewa uwenyekiti chadema na kuleta mafanikio katik a uchaguzi 2015.

Toa maoni yako:
1.zitto kabwe
2.tindu lissu
3.freeman mbowe
4.sugu
5.halİma mdee
6.dr salaa
7.lema
toa maoni ukitaja kwa asilimia ngap?

Wewe si ndiyo yule ambaye uliweka uzi hapa wa braking news watu wakakudharau haha ni wewe ni mtu wa ovyo kabisa.
 

Safi ila kuna watu wamejiunga hapa kiukweli kwa level yetu hatutakiwi hata kuchangia mada zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…