1:Adui namba moja wa CCM na mfumo wake
2:Atakayesimamia na kuongoza mabadiliko ya kweli bila kutiliwa shaka kimsimamo
3:Atakayesimamia kanuni na maadili ya chama
4:Asiyekua na makundi na anayechukia usaliti
5:Mwenye uwezo wa kutuvusha katika kipindi hiki cha mpito na kuchukua Dola bila msaada wa watawala kwa mipango ya kando