Ibada ya kwanza
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 3,282
- 1,806
Lema atafaa sana
ulipotea.heri ya krismas.naona leo lumumba bk 7fc mnasomeka hasa sred kama hizi mnazopost wenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lema atafaa sana
Toa maoni yako:
1.zitto kabwe
2.tindu lissu
3.freeman mbowe
4.sugu
5.halİma mdee
6.dr salaa
7.lema
toa maoni ukitaja kwa asilimia ngap?
Lema atafaa sana
1:Adui namba moja wa CCM na mfumo wake
2:Atakayesimamia na kuongoza mabadiliko ya kweli bila kutiliwa shaka kimsimamo
3:Atakayesimamia kanuni na maadili ya chama
4:Asiyekua na makundi na anayechukia usaliti
5:Mwenye uwezo wa kutuvusha katika kipindi hiki cha mpito na kuchukua Dola bila msaada wa watawala kwa mipango ya kando