Nani amrithi kikwete 2015?

Nani amrithi kikwete 2015?

fikirikwanza

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2012
Posts
7,452
Reaction score
3,073
Ukiangalia mafanikio ya Kikwete na ya Mkapa kuhusu uchumiunaangalia chini kilindini na kasha juu kileleni au mbinguni. Serikali ya JKimefeli simple, imefeli kabisa kama ni sekondari imepata division zero, wakatiserikali ya Mzee Mkapa ilipata Division ONE, huenda sio pointi 7 kwa olevellakini ni ONE ya nguvu;

SUMAYE waziri mkuu mstaafu ikiwezekana ndo achukue mikobabased on history ainue uchumi kutoka mfumko wa bei 19.2% hadi 4% kamailivyokuwa wakati mkapa anasaliti nchi na kumpa mkataliwa wa Nyerere nchi,SUMAYE ndo anajua mkapa na yeye walifanya nini, tusifanye chuki na wivu tu,vile mkapa hawezi kurudi ni bora sasa PM wake achukue kazi hiyo.

MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI NA SIFA ZAKE MPENI, mtukanyongwa bila kulia hata kufumba macho basi semeni jamaa alikuwa makakamavuhata kama ndo kisha nyungwa na kufa, usilazimishe eti alikuwa mwoga hapana,SUMAYE SASA OKOA TAIFA. Kupitia chama gani hiyo sio hoja.
 
Sumaye naye hana jipya kusema anaweza kufanya miujiza. Mabadiliko ni jambo lisiloepukika.
 
Nampendekeza LOWASA achukue nchi 2015. Huyu ni jembe; bila shaka nchi itaendelea.
 
Ni kweli lowassa anafaa na waziri mkuu ni freeman mbowe na spika ni dr slaa maana katiba mpya inataka spika acwe mbunge
 
Sumaye watu tulikaa na kuingia kwenye maombi Mkapa asimteue kuwa waziri mkuu kipindi cha pili leo kawa mzuri,, uchaguzi wa mzee mkapa ulikuwa unasubiriwa kwa hamu sana matokeo yake akamchukua rafiki yake sumaye kipindi cha pili. Kwa kifupi Lowasa asingekuwa CCM angefaa lakini kwa sababu yuko CCM hafai mara mia. hatutaki taka taka 2015 maana atachukua timu zile zile peke yake hawezi fanya kila kitu. 2015 tunataka mtu ambaye atakuja na timu mpya yenye sura tofauti. With lowasa watu watakuwa wale wale na udikteta utazidi maana lowasa anatumia maguvu sana kuongoza, hafai.
 
Ukiangalia mafanikio ya Kikwete na ya Mkapa kuhusu uchumiunaangalia chini kilindini na kasha juu kileleni au mbinguni. Serikali ya JKimefeli simple, imefeli kabisa kama ni sekondari imepata division zero, wakatiserikali ya Mzee Mkapa ilipata Division ONE, huenda sio pointi 7 kwa olevellakini ni ONE ya nguvu;

SUMAYE waziri mkuu mstaafu ikiwezekana ndo achukue mikobabased on history ainue uchumi kutoka mfumko wa bei 19.2% hadi 4% kamailivyokuwa wakati mkapa anasaliti nchi na kumpa mkataliwa wa Nyerere nchi,SUMAYE ndo anajua mkapa na yeye walifanya nini, tusifanye chuki na wivu tu,vile mkapa hawezi kurudi ni bora sasa PM wake achukue kazi hiyo.

MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI NA SIFA ZAKE MPENI, mtukanyongwa bila kulia hata kufumba macho basi semeni jamaa alikuwa makakamavuhata kama ndo kisha nyungwa na kufa, usilazimishe eti alikuwa mwoga hapana,SUMAYE SASA OKOA TAIFA. Kupitia chama gani hiyo sio hoja.

Hata kama tukikubali kwamba Mkapa alifanya vizuri sana - kitu ambacho watafiti wengi hawakubaliani nacho, hususan ukiangalia uuzaji holela wa makampuni ya umma- bado utakutana na swali la jinsi Sumaye alivyopanda.

Rais Mkapa - na Kikwete katika kumtaja Pinda- wameonekana kutaka mawaziri wakuu watakaokuwa "Yes men". Wasio na spine, wasioweza kuwa challenge nearly as much as Joseph Warioba "challenged" Nyerere when the former was Nyerere's AG.

Sumaye hana distinction yoyote ya kuwa rais, na kama kuna mafanikio yoyote yaliyopatikana wakati wa Mkapa, wengine tunaweza kusema yametokana na vision ya Mkapa na Sumaye alikuwa stooge tu.

If you think Kikwete is bad, try Sumaye and see.

This is the guy who said he did not know why Tanzania is poor - much as Kikwete did the same to the chagrin of Bob Geldof and many others, including myself-, while he was the benefactor of a millions of shillings no collateral loan from NSSF.

Sumaye kawa mbunge, naibu Waziri, Waziri, na Waziri Mkuu kwa miaka nenda rudi. The moment nilivyomuona kwenye TV alivyokaa kwenye kiti kwa kutojiamini, faking an English public school educated pose while only managing to appear as trying to shrink to a corner of the seat drunkenly, I knew what Mkapa was going for, a scared and awed PM who wouldn't budge or advise but just do as he was told.In this aspect the Mkapa playbook proved successful since he did not change PMs in his reign, but Tanzanians suffered for lack of a serious policy brainstorm at the top level.

Is this the man you want for the presidency in a top down system like ours?

Is this the best we can do?
 
Hakuna Membe wa sita, hapo ni Dk.Slaa tu anaweza hicho kiti halafu lowasa. Awe spika

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Hayo ni mawazo mgando kwani rais aweza kuwa mtu yeyote hivyo kama lowassa atapewa ni sawa tu lakin matus c hoja
 
.....challenge nearly as much as Joseph Warioba "challenged" Nyerere when the former was Nyerere's AG.

Kiranga sometimes you would like people to believe you, but ... ... hebu twambie Warioba alim-challenge mwalimu nini? Wacha uongo.
 
CCM wote wameoza, ambaye anataka uongozi kupitia CCM am-challenge Kikwete maovu yake hadharani, tujue kama kweli yeye anaubavu sio kutegemea kubebwa na mbeleko. Wote wameoza I mean unawezaje ku-support serikali ya rais dhaifu na bado unakubali kutumiwa kama toilet paper wakati walipa kodi wa nchi hii wanateketea? Tulikuwa na kina Mkwawa, Mirambo na watemi wengi kadhaa ambao hawakukubali kuchukuliwa utumwa raia wao. Ukipitia historia utaona wakwere walikuwa very week na wakachukuliwa utumwa bila lamulamu lolote, sasa kama unaona huwezi kuwakabili watu ambao ni week naturally unaweza kweli kuliongoza hili taifa? Ndio sababu huyu kilaza nchi imemshinda kwa sababu ni jadi yake ati!
 
Back
Top Bottom