Nchi iwekwe chini ya UN kwa mkataba maalum wa uangalizi kama inawezekana kuunda utaratibu wa namna hii, halafu kila kipindi cha miaka kadhaa anachaguliwa UN Commissioner atakayeiendesha nchi.
Mkataba huo upige marufuku Mtanzania yeyote kuteuliwa kuwa Commissioner.