Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,060
- 26,108
Hivi humu jf kuna mtu ambaye hajawahi kufungua nyuzi zangu kweli?
Sikumbuki kufungua nyuzi zako..! .!Hivi humu jf kuna mtu ambaye hajawahi kufungua nyuzi zangu kweli?
Kwa hiyo hujawahi kufungua nyuzi zangu hata siku moja?Sikumbuki kufungua nyuzi zako..! .!
Kweli mkuu uko vizuri!! Mm huwa nazisomaga tu lakini sifungui ulichofungua wewe!!!!!!!!!!!!!!! Nilijua una akl! Kubwa!Kwa hiyo hujawahi kufungua nyuzi zangu hata siku moja?
![]()
![]()
![]()
![]()
Hapa ndipo unafiki unapojidhihirisha
Ndio walewale wakiulizwa mnasikia wanajibu hatusikii sasa mtu unajiuliza kama hasikii amesikiaje swali na akalijibu![]()
![]()
![]()
Samahani sana mkuu .Hivi humu jf kuna mtu ambaye hajawahi kufungua nyuzi zangu kweli?
samahani ya nini mkuu?Samahani sana mkuu .
Nakupenda husna...Mimi
Nakupenda piaNakupenda husna...
Nakupenda kikubwa..Nakupenda pia
KikiHivi humu jf kuna mtu ambaye hajawahi kufungua nyuzi zangu kweli?
Mkuu jambo la kufunguliana nyuzi sidhani kama la kihekima kabisa, mimi binafsi jambo la kuharibu dressing yako siko tayariHivi humu jf kuna mtu ambaye hajawahi kufungua nyuzi zangu kweli?