Mungu kaumbwa na binadamu na mungu kaumba binadamu. Yaani mungu ni imani iliyotungwa na watu. Kila mtu kaumba anavyojua yeye. Duniani Miungu ni mingi sana kila kabila wana mungu wao na wanajua utaratibu WA kuomba miungu yako. Hivyo Mungu ni nawazo yaliyotungwa na watu. Mpaka Leo bado miungu inatungwa na kutengenzwa .