Behind the camera
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 315
- 740
Mmeshindaje jama?
Aisee mimi binafsi bwana huwa nafurahishwa sana sana na ile safu ya ulinzi ya Muheshimiwa Rais wangu wa Awamu ya 5.
Kwanza napendezwa sana na yeye mwenyewe hasa pale ambapo anakuwa katika majukumu yake ya kikazi kututumikia sisi ambao tulimchagua
Lakini pili, huwa napendezwa sana na ile safu ya ulinzi wake wa kila siku. Kuanzia wale jamaa wanao vaa sare za jeshi flan hivi wakiwa na silaha fupifupi mikononi mwao.
Lakini pia huwa napendezwa sana na umakini wa wale jamaa wanaovaaga suti jinsi wanavyokuwa active katika kuhakikisha Mambo yanakuwa Kama yalivopangwa.
Sijawasahau vyombo vingine vya ulinz na usalama Kama vile police jamii, FFU n.k.
Lakini lengo hasa la uzi ni yule mtu aliyevaa suti ambaye husimama pembeni karibu na muheshimiwa.
Hapa katika kada hii wako Kama jamaa watatu hivi, lakini Mara nyingi anakuaga yule bonge MWEUSI tiiiii, na yule mwingine (alhaji)
Sasa huyu alhaji bwana Mara kadhaa anatolewa mbele na muheshimiwa azungumze na raia. Huwa nafurah Sana walau kusikia sauti za Hawa viumbe ambao nami natamani kuwa Kama wao.
Ila yule brother mweusi bana sijawahi hata kusikia Rais akimtaja. Hivi mnaweza kunambia ni kwanini?
Natamani naye kusikia walau tu sauti yake siku moja.
Namkubali Sana na shuguli yake, huenda anafanya kazi ya ndoto yake.
Nani aliwahi japo kusikia sauti ya huyu jamaa?
Aisee mimi binafsi bwana huwa nafurahishwa sana sana na ile safu ya ulinzi ya Muheshimiwa Rais wangu wa Awamu ya 5.
Kwanza napendezwa sana na yeye mwenyewe hasa pale ambapo anakuwa katika majukumu yake ya kikazi kututumikia sisi ambao tulimchagua
Lakini pili, huwa napendezwa sana na ile safu ya ulinzi wake wa kila siku. Kuanzia wale jamaa wanao vaa sare za jeshi flan hivi wakiwa na silaha fupifupi mikononi mwao.
Lakini pia huwa napendezwa sana na umakini wa wale jamaa wanaovaaga suti jinsi wanavyokuwa active katika kuhakikisha Mambo yanakuwa Kama yalivopangwa.
Sijawasahau vyombo vingine vya ulinz na usalama Kama vile police jamii, FFU n.k.
Lakini lengo hasa la uzi ni yule mtu aliyevaa suti ambaye husimama pembeni karibu na muheshimiwa.
Hapa katika kada hii wako Kama jamaa watatu hivi, lakini Mara nyingi anakuaga yule bonge MWEUSI tiiiii, na yule mwingine (alhaji)
Sasa huyu alhaji bwana Mara kadhaa anatolewa mbele na muheshimiwa azungumze na raia. Huwa nafurah Sana walau kusikia sauti za Hawa viumbe ambao nami natamani kuwa Kama wao.
Ila yule brother mweusi bana sijawahi hata kusikia Rais akimtaja. Hivi mnaweza kunambia ni kwanini?
Natamani naye kusikia walau tu sauti yake siku moja.
Namkubali Sana na shuguli yake, huenda anafanya kazi ya ndoto yake.
Nani aliwahi japo kusikia sauti ya huyu jamaa?